Tundu Lissu ndani ya mkasi EATV

Tundu Lissu ndani ya mkasi EATV

Gavana wa bot alipokea barua kutoka magogon aruhusu pesa kutoka,pia kuna jaji mkuu kapata mgawo wa m.500,huyu jamaa ni hatari nimependa alivyojibu kuhusu zitto
Hajui kumun'unya maneno, safi sana, akiwa rais tutapiga hatua
 
LISSU ni raisi wa 5 wa Tz, ni yeye tu mwenye 90% ya sifa zinazohitajika
 
Salama powder imemharibu hana adabu wala staha, mshenzi kabisa huyo. Anajifanya anajua kila kitu.

Tambua kipaji cha mwenzio mkuu salama anajua, makosa madogo x2 huwa yapo lakini anajua. She is talented don't underate her coz of politics or ushabiki
 
Hajaonyesha heshima kwa kifupi. Amehoji maswali mazuri lakini attitude mbovu

Kila binadamu ana attitude yake na ndiyo inayotutofautisha otherwise wote tungeitwa zinc
 
Huu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.
Mkiambiwa ukweli mnamuita mtu mnafiki. Lema alishaambia uzalendo sio kwenda kung'oa bomba lako nyumbani la maji, eti kisa wananchi wako hawana maji. Kufanya hivyo ni unafiki na ni sawasawa na alichokisema Lissu.
 
Mkiambiwa ukweli mnamuita mtu mnafiki. Lema alishaambia uzalendo sio kwenda kung'oa bomba lako nyumbani la maji, eti kisa wananchi wako hawana maji. Kufanya hivyo ni unafiki na ni sawasawa na alichokisema Lissu.

Lisu yuko wazi sana
 
unamaanisha ili uonekane unawapigania wanaolala njaa na sharti ulale njaa? Au machinga na wewe lazima uwe machinga? Una mawazo na mitizamo ya kijinga na lazima utakuwa gamba tu!

Ndivyo walivyo mkuu, si unaona katibu wao akivaa ndala majukwaani ili kuwadanganya anaishi kwa shida kama raia wengine? Kinana anajua wimbo na maigizo wayatakayo ndo maana anawakalisha juani kumsikiliza!
 
Alisema si vizuri kumwuliza motto wa kike umri wake. TL alimwuliza mwaka 1995 ulikuwa na umri gani? Lakini Tundu aliweza kuhimili vizuri sana maswali yao akina Muba. Niliona muda hautoshi kabisa kwenye yale mahojiano
 
Alisema si vizuri kumwuliza motto wa kike umri wake. TL alimwuliza mwaka 1995 ulikuwa na umri gani? Lakini Tundu aliweza kuhimili vizuri sana maswali yao akina Muba. Niliona muda hautoshi kabisa kwenye yale mahojiano
Hapa nilipapenda jinsi huyu ----- TL alivyouliza swali la kishoga na Salama bila kumung'unya akamshushua! Eti anauliza mwaka 1995 ulikuwa na umri gani? Swali la kijinga sana hili.
 
wewe unaweza peleka mtoto wako shule za kata?lait ungejua ccm wanachokifanya kwenye shule hizo na hosp za serikali ndio ungeichukia ccm.
 
Tambua kipaji cha mwenzio mkuu salama anajua, makosa madogo x2 huwa yapo lakini anajua. She is talented don't underate her coz of politics or ushabiki

Anajua nini? Kipaji unachozungumzia ni kipi? Ungesaidia jukwaa kwa kueleza maswali aliyomuuliza Lissu na majibu aliyopewa. Kusema tu Salama anajua bila kuonesha anachokijua na hitimisho hilo umelifikia vipi ni maneno matupu.
 
sema tu basi lakini lissu hakupaswa kuhojiwa n mtu kama salama. unajua mimi tu siwez kuhojiwa na salama? ana iq ndogo sana nadhan lissu alienda kwa kuwa alijishusha tu na akataka watanzania wapate kitu toka kwake.ila si haki kumhoji lissu. yaan mtu mwenye akili ndogo anamhoji mtu mwenye akili kubwa?
 
Back
Top Bottom