Si msagaji huyo, anajifanya mwanaume nae.
Ndio mkuu!!!ni ujinga uliotukuka wa kutaka kumfananisha hayat JKN na kumfanya kama Mungu kuwa kila neno alilosema ni sheria
ako kasalama ndo kapumbavu kamwisho cjui nan aliwai kaongopea kua kenyewe ni ka mtu ka maana sana?? uwa sidhan kama kalishawai kukaa darasan ata kdogo kabla ya kukimbilia utangazaji mana wengi wao wakishakimbia umande wanadhan njia rahis ya kuish ni kutangaza, na ndo sababu Mziray super coach alikua anawadharau sn wengi wao. he was right!
mkitekenywa kidogo mnaruka,ingekuwa wa chama kingine mngemuona salama mtu mzur na hili povu lisingewatoka
huu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.
Sasa Lissu na heshima zake anaenda kwenye mikasi huko kutafuta nn tena jaman
kwa mara ya kwanza leo nimehisi mikasi imeendeshwa dakika kumi, TL noma sana
Unajua media ina nguvu gan kwnye ktngeneza prsnal brand?
Nyerere hakuwa malaika alikuwa binadamu alikosea
Hoja mufilisi. Mimi mwenyewe japo napata hela kwa shida, but mtoto wangu hawezi kusoma shule za kata. Huo ulikuwa mtaji wa CCM bila kujua kutakuwa na madhara makubwa.Kwani kule wanaenda kusoma au kuongeza tu umri kwenye hizo shule/ si bora akae nyumbani kama sina hela? Walimu wako wapi hizo shule? Usimulaumu bure LissuHuu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.
Imewahi kuisha, salama huwa zikibaki dk kumi anajifanya kuondoka kuwaacha kina fidodido, ila leo naona Salama hakuipenda shoo. Alafu yule Mubha, sijui ni kilaza kweli au ana-act, maswali yake hayanaga kichwa wala miguu!
Imewahi kuisha, salama huwa zikibaki dk kumi anajifanya kuondoka kuwaacha kina fidodido, ila leo naona Salama hakuipenda shoo. Alafu yule Mubha, sijui ni kilaza kweli au ana-act, maswali yake hayanaga kichwa wala miguu!
salama atakua kafanya kitu kikubwa sana si bure maana kila mtu kajaa upepo
hivi marudio ni lini vile?
Huyu lissu ni Mlopokaji tu kama walopokaji wengineAnasema awezi peleka watt shule za kata kwass wamefanya ivo sio kwa lengo la kuwafanya wwngine wasome vizuri.
Chama chawa chagga