Tundu Lissu na Wenzake waachiwa kwa dhamana na masharti magumu

Tindu ni kansa kwenye nchi yetu ambayo ni kisiwa cha amani na utulivu..........hakimu mwenye hekima alitakiwa kumzuia kwenda mara kabisa kwa kuwa ni mchochezi wa uvunjaji wa amani na mtetezi wa majambazi

haya bana, huyo ni hakimu anaejua sheria akimhukumu mwanasheria aliyebobea, sasa kwa sisi tusiojua sheria wala katiba ya nchi yetu hatutapewa masaa tu kuhama nchi bali tutapewa sekunde kuihama dunia tena kwa kusindikizwa na askari polisi na risasi vichogoni. pouwa tu,......haina noma.
 
Nimempenda huyo hakimu kwa masharti yake ya dhamana, hapo tunajenga hoja kwamba hata mahakama imeingiliwa na siasa (ccm) na mafisadi wake. Huwezi kufanya maamuzi ya kitaaluma kijinga namna hiyo, huyo hakimu pia nikipofu haoni mbali hakika asingechukua uamuzi huo.

Nafikiri huyo hakimu kilaza alikuwa anasoma handout iliyoandaliwa na NAPE.
 
Wana JF Habari za kuaminika nilizozipata sasa hivi tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamani kutoka mahama ya tarime.na ameambiwa asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news. mwenye taarifa kamili atujuze.
Ina maana kesi amefutiwa au itabidi hakimu ahamie Singida ili aisikilize hiyo kesi ya Lisu. Siku akija ku atttend kesi itakuwaje? Na mashahidi wake si wako Nyamongo?
 
Japo sijui sheria na sijui kama Lissu alifanya kosa, lakini nafikiri masharti ya namna hiyo yanawezekana wala msimbeze hakimu. Hakimu yeye ana deal na mashitaki hadili na nini kinachosikika mtaani.

Hata yule jamaa wa IMF kazuiwa kutoka ktk maeneo yale mpaka mkewe amekodi nyumba.
 
Nimempenda huyo hakimu kwa masharti yake ya dhamana, hapo tunajenga hoja kwamba hata mahakama imeingiliwa na siasa (ccm) na mafisadi wake. Huwezi kufanya maamuzi ya kitaaluma kijinga namna hiyo, huyo hakimu pia nikipofu haoni mbali hakika asingechukua uamuzi huo.
Huyo Hakimu anaitwa Ruboroga, silijui jina lake la kwanza. Ila ni mlevi wa pombe kupindukia, hata wakati anatoa hiyo hukumu pengine alikuwa chicha. Mlevi wa aina yake anaweza kutumiwa hata kisiasa.
 
Tindu ni kansa kwenye nchi yetu ambayo ni kisiwa cha amani na utulivu..........hakimu mwenye hekima alitakiwa kumzuia kwenda mara kabisa kwa kuwa ni mchochezi wa uvunjaji wa amani na mtetezi wa majambazi

Malizia na mengine ili tuendelee kuujua upumbavu wako,Kama ni unatafuta sifa kwenye maisha yaliopotea ya Watanzania sio vizuri na hata Mungu aliekupa pumzi bure anakuona kwa hilo.Kama upo kichama utakuwa umepotea njia sababu hapa tinajadili mambo kwa maslahi ya Watanzania wote hatujadili mambo ya chama.Kama umetumwa na hao magamba wenzio sababu ya njaa zako ipo siku utapata faida ya hichi unachokifanya sasa hivi.Mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake na uwape ujasiri wa kudai haki zao daima
 
msando mambo yanasemaje kuhusu ilo je sheia ya nchi inaruhusu hilo kama sio je ushauri wa kisheria utakuwaje kuhusu hilo naomba nijuze hilo nijue
 
Kilichotokea ni sawa na ni haki ametendewa T.LISSU na wenziwe kwa mujibu wa sheria na ni msaada kwao.. Dhaman ni haki kwa mshtakakiwa yeyote isipokuwa kwa mwenye MADA, UHAIN, UNYANGANYI WA KUTUMIA SILAHA nk. Lakini pia shart la kutokuonekana nyamongo ni la msingi sana na msaada kwao kwa sababu angeruhusiwa kuwepo hapo angepewa mashart makali zaidi kama kutokushiriki kwenyemkusanyiko wowote wenye itikadi za kisiasa, kutotoa kauli yoyote yenye uchochezi ktk jamii kupelekea uvunjifu wa amani au uhamasishaji wake na mengine mengi ili kuzuia makuu yasitokee. Sasa basi asingeweza kuwepo kwenye jamii hiyo hapo na akajizuia na masharti hayo la si hivyo mngemuona ni msaliti kwenu na mngekosa imani naye.. Na kama akiwepo hapo na kuvinja mashart hayo ya dhamana basi ANGEFUTIWA DHAMANA HIYO NA KUWA ANASIKIKIZA KESI HIYO AKIWA ANATOKEA MAHABUSU na hili lingemnyima uhuru wa kushughulikia kesi hiyo, masuala ya chama chake, jamii na familia yake... Yeye ni mwanasheria na haya anayafahamu na yametokana na sheria hiyo hiyo iliyozaliwa na KATIBA inayotoa uhuru wa mtu kwenda sehemu yoyote bila kuvunja sheria na taratibu za kimsingi zilizowekwa. Aksante!
 
mi najua nikipaa dhamana natakiwa niwe karibu ili niwe nariport kituoni.....sasa kama wamemwambia asionekane tnea nyamongo !!! mbona sielewi.......au kesi ndo imekwisha hivyo....
 
Huyu hakimu anamamlaka yapi yakumpiga PI Lissu asikanyage Nyamongo ndani ya nchi yake? Tunataka katiba mpya!
 
Japo sijui sheria na sijui kama Lissu alifanya kosa, lakini nafikiri masharti ya namna hiyo yanawezekana wala msimbeze hakimu. Hakimu yeye ana deal na mashitaki hadili na nini kinachosikika mtaani.

Hata yule jamaa wa IMF kazuiwa kutoka ktk maeneo yale mpaka mkewe amekodi nyumba.

Kama kitu hujui usichangie ujinga !
 
Sasa serikali inaendeshwa kwa msaada na huruma ya mahakama. CHADEMA uzi huohuo. Muda wa kukaa Idara ya Habari Maelezo umepitwa na wakati. Ofisini kwenu Mzee Mtei na Mh Marando wanatosha.
 
Wana JF Habari za kuaminika nilizozipata sasa hivi tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamani kutoka mahama ya tarime.na ameambiwa asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news. mwenye taarifa kamili atujuze.
Hukumu imeshasomwa kabla ya kesi kumalizika??
 
sheria kama hiyo hakuna, we have a free country

BTW, watasikilizaje kesi zao bila kuonekana??
 
haya bana, huyo ni hakimu anaejua sheria akimhukumu mwanasheria aliyebobea, sasa kwa sisi tusiojua sheria wala katiba ya nchi yetu hatutapewa masaa tu kuhama nchi bali tutapewa sekunde kuihama dunia tena kwa kusindikizwa na askari polisi na risasi vichogoni. pouwa tu,......haina noma.
Ili kujenga amani kwenye nchi yetu ni lazima some watu wafe ili discpline.....mwanafilosa mmoja alikuwa anasema kuwa kiongozi lazima awe na maneno matamu kama asali na hapohapo na matendo katili yanayolenga kujenga nchi yake, hapaswi kuogopa kuuwa mtu yeyote kwa maslai ya nchi yake....kiongozi legelege ahatarishi maisha yake tu bali maisha ya taifa zima,
 
Wote wanajua wazi kuwa huyu **** ndio amesababisha maiti zisizikwe, hana dini huyo lasivyo angeheshimu maiti na kuweka uroho wa madaraka nyuma. Lakini kwaajili yeye ni CHADEMA basi wote mnaona hajakosea.

Wewe mwenye dini umeona maiti iliyotupwa barabarani na askari uliowatuma. Wewe usijifiche nyuma ya dini.
 
Back
Top Bottom