Majembe ya CDM yatafanya mkutano mkubwa wa CHADEMA kesho mchana katika viwanja vya Kwaraa, na watazindua matawi ya chama na vijiwe vya wakereketwa. Pia watapokea kadi za watu maarufu wa CCM na kujiunga rasmi CHADEMA. Pia watakuwepo makamanda wa chama wafuatao: Rose Kamili, Mch Natse wa Karatu.