Najiuliza tu, what if sinema ya BWANA JELA vs LISSU jana ni mbinu ya Samia na serikali yake kukabiliana na tamko/matakwa ya Jumuiya ya Madola??
Sio siri kwamba hawana uhalali wowote wakumshikilia TAL, lakini pia hawawezi kumuachilia tu just like that. So... pengine wanachofanya ni kutoa mwanya...
Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa mazungumzo baina ya mawakili na wateja wao.
Pia Soma Updates: Kesi ya Mawakili wa Lissu dhidi ya Mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.