Tundu Lissu kuongea George Washington University USA

Jumanne, February 5, 2018 saa 9:00 hadi 10:30 asubuhi, Mbunge Tundu Lissu atakua na maongezi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo makao makuu ya Marekani, Washington D.C.

Topic ya maongezi ni "Tanzania's Democratic Challenge”
Aongee tu asichoke kuongea maana akiacha kuongea sijui nani ataweza kuongea.

Meanwhile huku Tz watu wanajenga barabara, madarasa, madawa hospitalini, SGR, Stieglers Gorge electricity project etc.

Maongezi ni muhimu, big up Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meanwhile in Mtaa wa Lumumba.
c5ab7acb-6508-4a96-8ac0-5d67d3b01bfb.gif
 
Lissu ni commercial break katika drama za wazungu, wao wanavurugu zao na Trumpet sasa huyu naye anawasimulia vichekesho vinavyotokea nchini kwake, they are just listening like a stand up comedy, they aint gonna do shit, keep talking, talking is good,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuwa falla tu wakati nchi yako ikiendelea kuporwa na hawa mabeberu na ukidhani tunajenga reli kumbe vitukuu vyako vitakufa kwa utapia mlo maana nchi itakuwa inatawaliwa na wale walioikopesha madeni ya kujenga reli hiyo
Hivi kwanini mnapenda sana matusi ninyi watu wa Lissu na Jiwe?
 
T
Mzungu... aisee kwenye Inshu za kumwendekeza MZUNGU Mie sijawahi kuwa muumini wa Hilo! Siasa ni Akili safi ya kuinasa mioyo ya watu wako Sio kulalamika Kwa Watu ambao Hao Ndio wameunda siraha dhaifu za Uoga hizi ambazo waafrika tunauana kama Kuku..!
Toa majibu nani aliyemchapa lisasi siyo kubwabwaja. Yaani mnamchapa lisasi halafu mumnyamazishe tena ebo! Angekufa je!
 
Ma-genius wa WU hawawezi kumwacha bila maswali. Awamu hii ajifunze ku-appreciate positives za Jiwe na kutumia mbinu za kidiplomasia kuzifuta kwa kigezo cha demokrasia na ukandamizaji.

Akielekea kuwa negative tu bila angalau kutaja zile positive za jiwe, siyo utamaduni wa wazungu. Wazungu hata ukiandika sentensi moja mbovu atakusifu kwanza kwa kujaribu kuandika, kisha ataku-challenge huo ubovu wako wa kuelewa lugha.

Ni lazima tujifunze kutumia right approach ya kuongea kutokana na audience.Tofauti na huku Tanzania ambabo hata kuonekana karibu na mtu utashambuliwa kwa maneno ya hovyo hovyo mpaka ukimbie.
Mkuu audiences yake ndiyo hii hapa JF kazi kutukana na kusifia ndiyo maana hawafiki mbali. Ukiwa ma audience ya akili za kina Salary Slip na Lizabon unajidanganya sababu kazi kukusifu. Na wengine tukikosoa tunatukanwa inategemea unakosoa upande gani. Wote mabingwa wa matusi
 
Endelea kuwa falla tu wakati nchi yako ikiendelea kuporwa na hawa mabeberu na ukidhani tunajenga reli kumbe vitukuu vyako vitakufa kwa utapia mlo maana nchi itakuwa inatawaliwa na wale walioikopesha madeni ya kujenga reli hiyo
Sasa mbona unayemsifia kaenda kuripoti kwa hao mabeberu. Upo upande gani mkuu sikuelewi naona kama umechanganyikiwa. Huko kwako saa ngapi kwangu ni saa saba na dk 20
 
Huu ni ulimbukeni, ataongea kote mpaka atamaliza lakini hawezi badilisha chochote. Angalieni kinachotokea Venezuela sana sana ndicho mtakachoishia kukipata. Wazungu sana sana watawachomea nyumba zenu moto halafu za kwao wanajenga ukuta kuuzunguka ili mkose pa kukimbilia. Matatizo wanayopata wa Latin America ni kwa sababu ya siasa za magharibi lkn angalia USA wanataka kujenga ukuta ili kuzuia wanaokimbia machafuko wasiingie kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona amekuwa Vasco Dagama wa kipindi hiki.
'arudi nyumbani kumenoga!
Nyumbani kumenoga eti:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes: kwa kuwa waliompiga Risasi wamepatikana , inasemekana wameonekana kwenye cctv camera zilizofungwa pale na kufanya kazi masaa 24 , ;);)Na hatimaye wamefunguliwa mashtaka<<<<<<Na Jina la Wasiojulikana limefutwa kabisa >>>>>>
 
Jumanne, February 5, 2019 saa 9:00 hadi 10:30 asubuhi, Mbunge Tundu Lissu atakua na maongezi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo makao makuu ya Marekani, Washington D.C.

Topic ya maongezi ni "Tanzania's Democratic Challenge”


I should go there, anyone in Peoria Illinois contact me inbox twende kumsikiliza mtetezi wa Watanzania tangu zamani aliyekusudiwa mabaya na watesi na adui wa nchi yetu
 
My take its for Tindu to calm down heal well and come home THANK GOD FOR RECOVERY na kuendelea kuwatumikia wananchi badala ya midahalo hiyo against our and his Government kama ni cost za matibabu can be refunded kwa kukaa round table sio kwa kashfa mitandaoni….

MY HUBLE ADVICE TO THE LEARNED PERSON..Tindu Lissu
Naskia ataongeaa kwa muda wa dakika 115 kisha ataokea maswali na kuyajibu. Tutapona kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom