Khaah!Bak kumbe na ww ni mtaa wa pili?HongeraKipi kilichonoga? Wizi wa 1.5 trillions? Dhuluma ya zaidi ya 250 billions kwa wakulima wa korosho? Miaka minne bila nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi? Kununua ndege za abiria kwa $464 millions na baada ya kukosa abiria nchini kubeba mbuzi kupeleka Dubai?
Sent using Jamii Forums mobile app