Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,701
- 218,227
Mungu mbariki Tundu lissu
lengo la hili andiko lako la kishamba ni nini ? maana ni wazi kwamba Sugu amemaliza kifungo na wala hakusamehewa na shetani wala mtu yeyote .Nyani haoni kinyeo chake!!!
Mwishowe nitaamini maneno ya Barbarosa kuwa Lissu akiona kuna tukio ambalo litamfanya asahaulike anatafuta namna yoyote kuandika chochote ili asisahaulike.
Leo amejua watu tuko busy na mheshiwa "Sugu" kuwa huru kwa hiyo na yeye kaona asibaki nyuma.
Mapovu ruksa.
Lisu hawezi kuandika hivi, haya ni mawazo yakoKuna mtu ana ugonjwa mbaya wa kutaka kusifiwa muda wote hata kwa mambo ambayo sio ya kweli. Ugonjwa huu nauita 'Attention Deficiency Syndrome' au ADS. Nitoe mfano halisi wa dalili za ADS.
Leo Joe Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa Kanda Emmanuel Masonga wameachiliwa huru baada ya kukaa gerezani miezi mitatu kwa chuki na hila za kisiasa tu.
Mara ghafla tunawasikia wapambe Magufuli wakisema Sugu na Masonga wameachiliwa kwa msamaha wa Rais na jina la Bwana Mtukufu Rais lihimidiwe!!!
Kama kweli wameachiliwa kwa msamaha wa Rais, kwa nini imechukua wiki mbili tangu tarehe 26 Aprili inayodaiwa kuwa ndio siku ya msamaha huo???
Kwa nini Magufuli mwenyewe hakusema ametoa msamaha huo kwa Sugu na Masonga???
Kama kuna mtu anafikiri hilo haliwezekani, akumbuke Rais Ali Hassan Mwinyi alifanya nini kwa wanajeshi waliofungwa maisha kwa kujaribu kuipindua Serikali ya Mwalimu Nyerere.
Mwinyi alitoa taarifa rasmi kwamba amewapa msamaha wahaini hao. Hiyo ilikuwa mwaka '95 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa kwanza wa vyama vingi.
Tuendelee. Kila mfungwa, ukiachia waliofungwa kipindi kirefu kwa makosa makubwa au waliohukumiwa kifo, anastahili kupata automatic remission ya theluthi moja ya kifungo chake.
Remission hii ilikuwa inawahusu Sugu na Masonga vile vile. Je, hawakuipata??? Kama wameipata kama inavyotakiwa na sheria, hiki kinachoitwa msamaha wa Rais ni kitu gani kama sio uthibitisho wa ugonjwa wa ADS???
Lissu, Ubelgiji,
10 Mei 2018.
Kifupi chakeNa yeye Lissu ana ugonjwa kwa kuingilia kila kitu na kujidai mjuaji kwa kila jambo. Augue pole.
Mgonjwa ana kiherehere. Nahisi anaona kuchelewa kupona kabisa.Hivi anacommentia huko huko kitandani ama kesharudi. Kama bado mmmmh angesubiri apate nafuu huyu mgonjwa
Au uitwe " Attention and Integrity Disorders (AIDs)Mimi huo ugonjwa naona ungefaa zaidi kama ungeitwa "Attention Addiction Syndrome" kwa kifupi "AAS" au "Attention Addiction Disorder" au kwa kifupi "AAD".
Bado anazidi kuchanganyikiwa kisaikolojia. Yeye ndiye mwenye Attention Seeking Syndrome.Ameshapona
Au MD Mental DisorderMimi huo ugonjwa naona ungefaa zaidi kama ungeitwa "Attention Addiction Syndrome" kwa kifupi "AAS" au "Attention Addiction Disorder" au kwa kifupi "AAD".
Jifunze maana ya siasa,na kazi ya mwana siasa,alafu jufunze zaidi kuhusu siasa za upinzani zinafanywaje,ukiyajua hayo uje upitie upya komenti yako.Nyani haoni kinyeo chake!!!
Mwishowe nitaamini maneno ya Barbarosa kuwa Lissu akiona kuna tukio ambalo litamfanya asahaulike anatafuta namna yoyote kuandika chochote ili asisahaulike.
Leo amejua watu tuko busy na mheshiwa "Sugu" kuwa huru kwa hiyo na yeye kaona asibaki nyuma.
Mapovu ruksa.
Nadhani Lissu ndiye mwenye huo ugonjwa wa ADS. Na yote ni kwa sababu ya kujifanya mjuaji au kujikita katika mazoea ambayo safari hii Magufuli amefanya kinyume chake. 26/8 Rais alisamehe wafungwa wenye sifa kwa 1/4 ya muda wao waliotakiwa kukaa gerezani. Hakuamuru watolewe mara moja!! Yaani aliyetakiwa kukaa gerezani miezi minne unapunguziwa mwezi mmoja baada ya miezi mitatu unaachiwa. Sasa Lissu alitaka Sugu anayekuwa na kifungo cha kuishia June aachiwe siku hiyo hiyo? Mwambieni punguzo la 1/4 la kifungo cha Sugu imefikia leo mambo huku yamebadilika siyo aliyozoea!!!Kuna mtu ana ugonjwa mbaya wa kutaka kusifiwa muda wote hata kwa mambo ambayo sio ya kweli. Ugonjwa huu nauita 'Attention Deficiency Syndrome' au ADS. Nitoe mfano halisi wa dalili za ADS.
Leo Joe Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa Kanda Emmanuel Masonga wameachiliwa huru baada ya kukaa gerezani miezi mitatu kwa chuki na hila za kisiasa tu.
Mara ghafla tunawasikia wapambe Magufuli wakisema Sugu na Masonga wameachiliwa kwa msamaha wa Rais na jina la Bwana Mtukufu Rais lihimidiwe!!!
Kama kweli wameachiliwa kwa msamaha wa Rais, kwa nini imechukua wiki mbili tangu tarehe 26 Aprili inayodaiwa kuwa ndio siku ya msamaha huo???
Kwa nini Magufuli mwenyewe hakusema ametoa msamaha huo kwa Sugu na Masonga???
Kama kuna mtu anafikiri hilo haliwezekani, akumbuke Rais Ali Hassan Mwinyi alifanya nini kwa wanajeshi waliofungwa maisha kwa kujaribu kuipindua Serikali ya Mwalimu Nyerere.
Mwinyi alitoa taarifa rasmi kwamba amewapa msamaha wahaini hao. Hiyo ilikuwa mwaka '95 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa kwanza wa vyama vingi.
Tuendelee. Kila mfungwa, ukiachia waliofungwa kipindi kirefu kwa makosa makubwa au waliohukumiwa kifo, anastahili kupata automatic remission ya theluthi moja ya kifungo chake.
Remission hii ilikuwa inawahusu Sugu na Masonga vile vile. Je, hawakuipata??? Kama wameipata kama inavyotakiwa na sheria, hiki kinachoitwa msamaha wa Rais ni kitu gani kama sio uthibitisho wa ugonjwa wa ADS???
Lissu, Ubelgiji,
10 Mei 2018.