logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Haha hahaaa a, Ivi kichwa chako kina funza? soma post ya kwanza utaelewa kama nashabikia huo ukichaa kama wewe.. Acha kinifananisha na CCM au CHADEMA... Wote hao wapo kimaslahi tu.. Sasa wewe jidanganganye hata hao waliokuajiri kuwa mdomo wao mtandaoni... Wanasiasa wote ni waongo, utatumika kwa huo ujira waliokubebesha hadi utie akili. You can't be serious 24 hours herein JF. SIMUAMINI YEYOTE mimi na siwezi kuwa chini ya hao unaodhani.Hahahahaha lo! You are mad Bro!? Povu la nini sasa!? JINYONGE ZERO BRAINS wenzio watakulilia ju.ha mkubwa wewe! Hata waliowahi kushika nafasi za juu za uongozi ndani ya CCM na Serikalini wanaona huyo dhalimu jinsi nchi ilivyomshinda lakini weye ZERO BRAIN bado umekazana kumpamba tu ili kuganga njaa zako pimbi wewe!!!
Mwinyi: Nchi sasa inakwenda kama Gari bovu
Upo?