Kafumu! Kafumu! Kafumu! Kafumu! Kafumu! Kafumu!
Kweli Igunga hamja watendea haki watanzania. Kafumu huyuhuyu amekula posho ya laki tano?!
Nazidi kukumbuka maneno ya katibu wa chama changu "KUENDELEA KUICHAGUA CCM NI MAAFA" DR SLAA 2010.
Today wameongea kama Taifa moja, kwa maslahi ya wananchi, itikadi zilikuwa pembeni, very interesting....!!!
Kafumu kaanza mchezo vibaya. Yaani dakika za mwanzoni ameshapewa kadi ya njano.
Mimi mshahara wangu wa mwezi mzima haufiki laki 6 lakini yeye na kundi lake ndani ya kikao kimoja wanalipana laki 6. Is not fair!
Mungu awalaani wote na familia zenu.
gwedo saita??? abaha woos
Gwalo ako dohung, kwa gwalay, gweedo, here didn't u get me now?
Before turning on Kafumu, how sure are we that the recommendations proposed by the commitee on Jairo shall be implemented?
Gwalo ako dohung, kwa gwalay, gweedo, here didn't u get me now?
Maslahi ya wananchi yapi wakati umewasikia Kilango na Sendeka wakisema mawaziri hawawezi kuwajibika? Ngeleja na naibu wake wameiba kila mmoja 4m lakini tunaambiwa hawawezi kuwajibika, Lissu alisema hawa wote ni wezi, na sehemu muafaka kwao ni mahakamani.Today wameongea kama Taifa moja, kwa maslahi ya wananchi, itikadi zilikuwa pembeni, very interesting....!!!
Mr.President,
Gam kar ala aqho adosinge! Aymii sing ki looar iloo. Idosing i qhondaka naas.
Prima di accendere Kafumu, come siamo sicuri che le raccomandazioni proposte dalla commissione per Jairo è attuato?Before turning on Kafumu, how sure are we that the recommendations proposed by the commitee on Jairo shall be implemented?