Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
Pinda kuachia ngazi kwa kushindwa si ajabu tena kwa kauli yake ya liwalo na liwe na likawa Ulimboka kupigwa hakika anatakiwa aondoke, mbona mwenzie Lowasa alijipima akaona boro kuachia ngazi pamoja na kwamba alikuwa anachapa kazi kuliko pinda?