HAYA MAELEZO YA KUTOKA JUU? Watanzania tuwe makini.Baada ya kukamatwa jana jioni kisha kusafirishwa jana hiyo hiyo kuelekea jijini Dar es Salaam kwa kadri ya kile kilichodaiwa kuwa ni maagizo kutoka juu, walipofika Dodoma baada ya kula na kupelekwa polisi mkoa kuonana na RCO ilionekana kuwa yeye pamoja na askari waliokuwa wakimsindikiza wangelala pale na safari ya kupelekwa Dar es Salaam ingeendelea asubuhi leo.
Viongozi wa chama kutoka Singida waliokuwa wakimsindikiza waliambiwa kuwa wanaweza kutafuta mahali pa kulala na kwamba wafike hapo polisi mkoa majira ya saa moja asubuhi leo ambapo safari ingeanza saa mbili.
Taarifa zilizotufikia alfajiri leo kutoka kwa viongozi wa chama mkoani Dodoma na viongozi waliokuwa wakimsindikiza Mwanasheria Mkuu wa Chama na Mbunge huyo wa Singida Mashariki, zinasema kuwa baadhi yao wamefika polisi hapo saa 12 asubuhi na hawakumkuta Lissu bali wameambiwa kuwa ameondolewa hapo mapema alfajiri kwa maelekezo ya kutoka juu.
Haijulikani hasa muda ambao ameondoka Dodoma na kwa sasa atakuwa yuko wapi na iwapo alitokea central police station au Ofisi ya RCO!
Makene.
Jaribio lolote la kumdhuru lissu hatutakuwa tayari kuliona!!!!
Sina utaalamu sana na maswala ya assassin bt, ili Lissu adhurike na picha lisiungue...itawalazimu polisi wote waliopo pamoja nae wafe,...regardless ni impact gan wanataka kumfanyia.
Usinielewe vibaya mkuu...mtazamo tu.Umekwenda mbali mno....
Tuombe isitokee ajali maana unaweza ambiwa walinzi wamenusurika ila raia mmojaMambo mengine police wenyewe wanasababisha kuchukiwa na wananchi...
Yeah! It is pessimists like who discourage our movement!! Is slavery your trait?
Hiyo inakuwa sio ajali tena...waTZ wa leo hizo story unawapigiaje???Tuombe isitokee ajali maana unaweza ambiwa walinzi wamenusurika ila raia mmoja
Namba tatu ni kutopandisha mishahara wala kulipa malimbikizoHii ni namba moja kwenye ilani ya ccm. Namba mbili ni kuhamia dodoma
Hivi hii iko kwenye Ilani yao?
Yuko salama Kiongozi, As long as yuko mikononi mwa Polisi hakuna shida ya Usalama wake..