cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,552
- 5,447
unataka letewa chakula watoto wako wale...shauri yako hata huko kwa mabeberu usipokula utakufa njaa na wanao watageuzwa mashoga..acha laumu watu walipambana wakabarikiwa wakatoboa...fanya kaziiiGharama gani?
Kwani hao watoto ndugu jamaa na marafiki zako wanaoteseka kwa ugumu wa maisha sio gharama?