Jitahidi kuwa na msimamo. KaribuMakamu mwenyekiti wa Chadema aliyechukuliwa na Amsterdam na kuwa mkazi wa Ubelgiji Tundu Lisu amesema hali ya kisiasa kwa chama hicho inazidi kuwa mbaya zaidi kwenye serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa sababu sasa hawaruhusiwi hata kufanya mikutano ya ndani.
Lisu amesema kwenye serikali ya awamu ya tano chini ya hayati rais Magufuli waliruhusiwa kufanya mikutano ya ndani na operation mbalimbali kama ile ya Chadema ni msingi walipozunguka nchi nzima.View attachment 1975316
Tulieni jamani kila mmoja acheze kwenye half yake hapa uwanjani, hakuna haja ya kugombania mpira .Makamu mwenyekiti wa Chadema aliyechukuliwa na Amsterdam na kuwa mkazi wa Ubelgiji Tundu Lisu amesema hali ya kisiasa kwa chama hicho inazidi kuwa mbaya zaidi kwenye serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa sababu sasa hawaruhusiwi hata kufanya mikutano ya ndani.
Lisu amesema kwenye serikali ya awamu ya tano chini ya hayati rais Magufuli waliruhusiwa kufanya mikutano ya ndani na operation mbalimbali kama ile ya Chadema ni msingi walipozunguka nchi nzima.View attachment 1975316
Vip yule wa kisongo, mvua 30, gaidi siyo gaidi, jambazi au siyo jambazi?Alimiminiwa na gaidi Mbowe
Darasa la saba mnaonekana tu mnapocoment.Hawa wanasiasa hata hawaeleweki.
Eti leo Lisu anamkumbuka na kumpongeza Magufuli kwa kuwaruhsu kufanya mikutano.
Darasa la saba mnaonekana tu mnapocoment.Hawa wanasiasa hata hawaeleweki.
Eti leo Lisu anamkumbuka na kumpongeza Magufuli kwa kuwaruhsu kufanya mikutano.
CCM ilishakufa kilichobaki ni dolaCCM ni lazima wafanye hivyo sababu wamepoteza ushawishi kwa majority ya watanzania, njia ni kuminya mawazo mbadala yasiwafikie wananchi walio wengi hawa wale wa vijijini.