Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Kwahiyo Lissu aliposhinda uchaguzi wa 2010 alisaidiwa na Lowassa? Pathetic!
LOWASSA ana mafanikio gani?Lowassa ni Mlima Kilimanjaro
Na Lissu ni Kama Kilimanyege cha pale Morogoro store
Siasa ya Tanzania sio kupiga Kelele na Kama ingekuwa ni uwezo wa kupiga Kelele Lowassa na Kikwete wasingekuwa na Mafanikio ya Kisiasa kiasi kile
Barbarosa katumia ngongingo kuandika Uzi huuKwahiyo Lissu aliposhinda uchaguzi wa 2010 alisaidiwa na Lowassa? Pathetic!
Aisee!Eti na wewe unajifanya kuongea na kumkashifu Lowassa chadema, bila ya watu wa Lowasa wewe ni kidampa tu hata waliokupigainia ukawa Kiongozi wa TLS ni Team Lowassa, hivyo waongee wengine lkn siyo wewe, Lowassa kakutoa mbali, bila Team Lowasa, you are no body, kwanza siajabu haujaweka hata Shilingi chadema unamkashifu mtu aliyeingiza mabilioni?
Hapo ulipo nina mashaka hata kama Ada ya Uanachama chadema huwa unalipia, sasa unamkashifu mtu ambaye kaweka kitu chadema na hachukui wewe chadema unachukuwa tu, unalipwa Mshahara na chadema, hiyo ni Hela ya Lowasa halafu unaleta kibesi? Nigga please!
Hivi ni nani aliipigia kura chadema shauri ya Tundu Lisu? Siajabu hata jimboni kwako ulikoshinda kwa taabu Team Lowassa aliweka hela yake ili upite, mchango wa Lowassa kwa chadema hauna mfano kaongeza Wabunge, Halmashauri hata Jiji la Dar ni watu wa Lowassa ndiyo waliolipeleka chadema wewe umeifanyia nini chadema zaidi ya nuksi tu na kuiharibia jina?
Huu ndio ukweli... Tundu Lisu anafikiri kuropoka ndio kupendwa na wananchi... Lowassa level nyingine..Eti na wewe unajifanya kuongea na kumkashifu Lowassa chadema, bila ya watu wa Lowasa wewe ni kidampa tu hata waliokupigainia ukawa Kiongozi wa TLS ni Team Lowassa, hivyo waongee wengine lkn siyo wewe, Lowassa kakutoa mbali, bila Team Lowasa, you are no body, kwanza siajabu haujaweka hata Shilingi chadema unamkashifu mtu aliyeingiza mabilioni?
Hapo ulipo nina mashaka hata kama Ada ya Uanachama chadema huwa unalipia, sasa unamkashifu mtu ambaye kaweka kitu chadema na hachukui wewe chadema unachukuwa tu, unalipwa Mshahara na chadema, hiyo ni Hela ya Lowasa halafu unaleta kibesi? Nigga please!
Hivi ni nani aliipigia kura chadema shauri ya Tundu Lisu? Siajabu hata jimboni kwako ulikoshinda kwa taabu Team Lowassa aliweka hela yake ili upite, mchango wa Lowassa kwa chadema hauna mfano kaongeza Wabunge, Halmashauri hata Jiji la Dar ni watu wa Lowassa ndiyo waliolipeleka chadema wewe umeifanyia nini chadema zaidi ya nuksi tu na kuiharibia jina?
Politically lowasa hana uwezo ila economically. Yupo juu....ndo utafaut wa rais wa TL na lowasa.....ebu onyesha wapi lowasa katoa kauri ya kukonga wa tz....lowasa n chiasmatic leader.....
Lissu alikua Mbunge kabla ya LowasaWewe acha kunananifa ferari na bajaji mzee.... lisu ni lisu nenda mara ukaone wema alowatendea watu... kuna watu wanalia kuhusu lisu mzee wewe unaleta ulumumba yule mtu kama ni kocha ni the special one + the choosen one + tactic master + game changer
Leo mwamtukana BOSS na MMILIKI wa CHADEMA .... makubwa ... mshamlipa pesa yake?Barbarosa naomba mtazamo wako wa kisiasa usiharibu mtazamo wako wa fikra.
The hero and The Master of the Game Tundu Lissu sio mtu wa kaliba ya LOWASSA.
LOWASSA ni fortune hunter, Na Tundu Lissu ni mtetezi.
Kamwe kabatini usilinganishe kazi ya sufuria Na umma kwa sababu vyote vimo kabatini.
LOWASSA ni kama umma uswahilini, tusipopika chips hauna kazi.
Kazi ya LOWASSA ilikuwa ni siku tulipopika chips 2015, Siku ya uchaguzi Na kazi yake iliishia hapo