Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Eti na wewe unajifanya kuongea na kumkashifu Lowassa chadema, bila ya watu wa Lowasa wewe ni kidampa tu hata waliokupigainia ukawa Kiongozi wa TLS ni Team Lowassa, hivyo waongee wengine lkn siyo wewe, Lowassa kakutoa mbali, bila Team Lowasa, you are no body, kwanza siajabu haujaweka hata Shilingi chadema unamkashifu mtu aliyeingiza mabilioni?
Hapo ulipo nina mashaka hata kama Ada ya Uanachama chadema huwa unalipia, sasa unamkashifu mtu ambaye kaweka kitu chadema na hachukui wewe chadema unachukuwa tu, unalipwa Mshahara na chadema, hiyo ni Hela ya Lowasa halafu unaleta kibesi? Nigga please!
Hivi ni nani aliipigia kura chadema shauri ya Tundu Lisu? Siajabu hata jimboni kwako ulikoshinda kwa taabu Team Lowassa aliweka hela yake ili upite, mchango wa Lowassa kwa chadema hauna mfano kaongeza Wabunge, Halmashauri hata Jiji la Dar ni watu wa Lowassa ndiyo waliolipeleka chadema wewe umeifanyia nini chadema zaidi ya nuksi tu na kuiharibia jina?
Hapo ulipo nina mashaka hata kama Ada ya Uanachama chadema huwa unalipia, sasa unamkashifu mtu ambaye kaweka kitu chadema na hachukui wewe chadema unachukuwa tu, unalipwa Mshahara na chadema, hiyo ni Hela ya Lowasa halafu unaleta kibesi? Nigga please!
Hivi ni nani aliipigia kura chadema shauri ya Tundu Lisu? Siajabu hata jimboni kwako ulikoshinda kwa taabu Team Lowassa aliweka hela yake ili upite, mchango wa Lowassa kwa chadema hauna mfano kaongeza Wabunge, Halmashauri hata Jiji la Dar ni watu wa Lowassa ndiyo waliolipeleka chadema wewe umeifanyia nini chadema zaidi ya nuksi tu na kuiharibia jina?