Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,519
- 11,039
kamati ya roho mbayaSafi sana Mh Rais mtarajiwa hakuna kucheka na kima , aijipiii kama anaweza akaripoti mwenyewe huko kilimanjaro...
#NiYeye
kamati ya roho mbayaSafi sana Mh Rais mtarajiwa hakuna kucheka na kima , aijipiii kama anaweza akaripoti mwenyewe huko kilimanjaro...
#NiYeye
"Kibaraka" ? Je una ushahid with supportive evidence wa ukibaraka wake?Atashindwa vibaya mno huyo kibaraka wenu, na baada tu ya ushindi lazima apate tabu sana
Jumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Ni kibaraka mkubwa, ndiyo maana lazima apate tabu sana baada ya 28.10.2020"Kibaraka" ? Je una ushahid with supportive evidence wa ukibaraka wake?
Urais wa jf
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
Ss hayatuhusu hayoJumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Rais wako ma mke wakoSafi sana Mh Rais mtarajiwa hakuna kucheka na kima , aijipiii kama anaweza akaripoti mwenyewe huko kilimanjaro...
#NiYeye
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
KIUKWELI WACHA CHUMA LIVUTE PUMZI KIDOGO,Likiamsha hapo hadi ushindi oct28Mkombozi wa Taifa!
Nenda MMU na Chit Chat huko wanakusubiri. Huku sio size yako mremboMbio za mange zilikuwa kama hizi
USWAHILINI NDO NZURI HUYO NI RAISI WA WATU KAMA NYEREREUswahilini sana kwake tatizo
Nimeomba ushahidi sio porojo. Weka ushahid unaonyesha ni kibaraka.Ni kibaraka mkubwa, ndiyo maana lazima apate tabu sana baada ya 28.10.2020
..wa Taifa!
Mkuu agiza Hankain moja kubwa naja kulipa yan🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️Hivi kuna ugumu gani jamaa zetu wa CCM kutamka wazi 'IMEKWISHA' na kukata roho kisiasa? Mbona hilo lingetupunguzia malumbano yasiyo sababu hadi mataifa makubwa yanatujadili?
Kwaheri ukoloni Kwaheri CCM
Amesema barua haijasema kosa lakeDah, Lissu kweli ni kichwa ngumu aisee...yaani ametakiwa na AiJiiPii kuripoti kituo cha Polisi mkoani Kilimanjaro na kachimbwa biti zito. Halafu yeye Lissu anatia zake timu kwake Dar es Salaam 😂
Huu mtanange wa mwaka huu ni mtamu usipime...upele umempata mkunaji.