Kama kweli mna ubavu na uchungu mlioonyesha kwenye uchangiaji wenu wa report za kamati za Bunge ni wa kweli kutoka moyoni basi chukueni hatua madhubuti tuone kweli mko serious na mnacho lalamikia. Pigeni vote of no confidence to the government. Tumewazoea miaka yote kamati zinapo wasilisha taarifa zao mmekuwa mnatuletea usanii wa kuvunga mnalaumu mapungufu yaliyopo serikalini mwisho wa siku mnapulizia na kuunga hoja. Ya Jairo na kelele zenu yameishia wapi?
Tuna waangalieni tu na sidhani hata hiyo 2015 mtafika. Hatuto subiri kuingia barabarani tena kama mlivyozoea bali msituni. Tuone Jeshi letu ni la wananchi kama jina lao lilivyo au la mafisadi. Pamoja na uozo wote wa serikali wao wako kimya tu.. sasa tuna majeshi kweli au masanamu? Je, mnalinda wavamizi wasitoke nje ili walioko ndani watumalize vizuri? kuna tofauti gani ya kuvamiwa hapa? kwa mtindo huu wa magamba ni kama nchi imevamiwa tena kwa uvamizi wa aina mpya kutokea ndani wala siyo uasi kwa tafsiri halisi ya uasi, chukueni hatua. Msidhanie tunashindwa kupata silaha na kuzitumia. Kumbukeni wengine jeshini tulipitia tuna mshukuru hayati Nyerere kwa hilo. Tuna kuhesabieni siku tu..
Tulipo fikia kwa sasa serikali haiwezi tena kuchukua hatua na wala haina ubavu huo. Tuna mifano mingi ya mambo mazito ambapo wameshindwa kabisa kufanya lolote. Kilicho bakia kwa sasa ni majeshi kuingilia kati kama Guinea Bissau au kwa mara ya kwanza Tanzania iwe na waasi. Mapori tunayo mengi ya kuanzia front na vijana wasio na kazi watalianzisha. Mnapo sikia EL anawaambia vijana wasio kuwa na kazi ni bomu litakalo lipuka wakati wowote mnaona ni ndoto eh? subirini..