Tundu Lissu App

Tundu Lissu App

Ongeeni na Tundu Lissu ikiwezekana ianzishwe Tundu Lissu App, hii itakuwa njia nzuri ya watu kumchangia chochote kila mwisho wa wiki au wa mwezi. Watu wenye smart phones ni wengi sana ambao wanaweza ku download apps.

Wale wasioweza watumie M pesa na Tigo pesa. Wengine kama my mother in law wanaamini kwenda bank na ku deposit pesa. Wapewe accout.

Mheshimiwa tuko na wewe.

Wazo zuri sana. Lifanyiwe kazi.
 
Wazo zuri sana hili " Jiwe na DAB watanuna

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajarudi nyumbani TZ akadhindwa kuidhi.
Sio mkimbizi. Pia hakuna anaemchukia yeye na fsmilia yake kwani so far ana kazi yake na mshahara.
Asahau ns kusamehe yaliyotokea kesni bado ana maisha yake na familia wanaofurahi wakimuona bado angali hai na akilindwa na Mungu kupitia ahadi ambazo hata serekali imetoa.
Maisha ya kumchangia ili aishi ugenini sio suluhisho.
Ana taaluma ambayo serekali na wapigakura wake wameiwekeza kwake.
Labda aanzishiwe app ya " we need you back home Lisu"''.
Aliemnusuru anakusudio la maisha yake na familia yake.
SHAURI LAKE ALIACHIE TU MAMLAKA HUSIKA NA IKIWEZEKANA HATA LIISHE KAMA YA RAIA WENGINE YANAOWAKUTA.

Home is the nice place to cherish of.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri sana. Ila likifanikiwa lazima itatangazwa marufuku kwa agizo kutoka juu!

***Abhasubhi twemanye***
 
Ongeeni na Tundu Lissu

Kwa nini wewe usiongee nae?

Unamtupia nani mzigo wa ku take initiative?

Ikiwezekana ianzishwe, ianzishwe na nani?

Wazo lako wewe halafu sisi ndio tuongee nae?

Be responsible, for the love of God.
 
labda kuwe na mtu anasafiri anampelekea hio pesa huko alipo
 
Wazo zuri sana. Ila likifanikiwa lazima itatangazwa marufuku kwa agizo kutoka juu!

***Abhasubhi twemanye***
Tamko kutoka juu haliwazuii wa Tanzani wanaoishi Afrika ya Kusini, Phllipines, Belgiam na kwingineko
 
Hii ilikuwa wiki ya ajabu kwa watanzana wanaocheza soka nje ya nchi.

1. Sammata kafunga

2. msuva kafunga

3. Ulimwengu kafunga
 
Kwa nini wewe usiongee nae?

Unamtupia nani mzigo wa ku take initiative?

Ikiwezekana ianzishwe, ianzishwe na nani?

Wazo lako wewe halafu sisi ndio tuongee nae?

Be responsible, for the love of God.
Mkuu hujui kuna kitu kinaitwa kupitia kwa... Unafikir ni kwa nn mtu anataka ujumbe wake uwende kwa furani lakini ukapitia kwa.. fulani kwanza.

Nikupe mfano;
ukitaka utoke labda kwenye fani ya music ukifanya korabo leo na wasafi, tayar nusu ya watanzania wote wanakujua fasta tu.

So, huyu member hapo juu anataka korabo,
Au kafanya hivo ili ipite kwa watu humu, then najua kuna mtu anaweza kulianzisha hilo kwa urahis na sio kwamba kawa mzembe kwa hili jambo kiasi hicho wew unavodhan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongeeni na Tundu Lissu ikiwezekana ianzishwe Tundu Lissu App, hii itakuwa njia nzuri ya watu kumchangia chochote kila mwisho wa wiki au wa mwezi. Watu wenye smart phones ni wengi sana ambao wanaweza ku download apps.

Wale wasioweza watumie M pesa na Tigo pesa. Wengine kama my mother in law wanaamini kwenda bank na ku deposit pesa. Wapewe accout.

Mheshimiwa tuko na wewe.
Huyu mtu anatibiwa au ameamua kuzurura kujitafutia kiki ya dunia?busara ingekuwa amalize tiba yake, arudi nyumbani watu wampe pole zake, asaidie pia polisi kutoa ushahidi wake, halafu ajipange sasa rasmi na Chama chake na wampe agenda ya kuzungumza akiwa huko. Huo ungekuwa in utratibu mzuri kuliko anvyo Fanya sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongeeni na Tundu Lissu ikiwezekana ianzishwe Tundu Lissu App, hii itakuwa njia nzuri ya watu kumchangia chochote kila mwisho wa wiki au wa mwezi. Watu wenye smart phones ni wengi sana ambao wanaweza ku download apps.

Wale wasioweza watumie M pesa na Tigo pesa. Wengine kama my mother in law wanaamini kwenda bank na ku deposit pesa. Wapewe accout.

Mheshimiwa tuko na wewe.
uchunguzi umebaini kwamba angalau kila familia moja vijijini ina smartphone 2
 
Back
Top Bottom