Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
..Lissu hakumtukana Raisi.
..Lissu angekuwa amemtukana, Raisi asingekubali kuwa na mazungumzo naye alipokuwa Ubelgiji.