Tundu Lissu apata passport mpya, amshukuru Rais Samia, kurudi Nchini

Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt

..Lissu hakumtukana Raisi.

..Lissu angekuwa amemtukana, Raisi asingekubali kuwa na mazungumzo naye alipokuwa Ubelgiji.
 
Kama kuna ovu litafanywa na Rais Samia, lazima wanaomzunguka, watu kama Mwigulu, ndio watakaokuwa wamemsababishia. Lakini Rais Samia, kwa kilicho.moyoni mwake, sitarajii ana dhamira ya kuwafanyia uovu Watanzania, kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.
 
Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.

Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.

Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.

Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Yaani Kila upande mama anapewa shukrani.
SSH2025
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
Barikiwa
 
Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.

Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.

Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.

Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!


Tatizo lenu ni kuongezea watu maneno kama haya

“Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.”

Mnafikiri mnasaidia lakini mkiongeza chumvi hata yake ya ukweli yanainekana ya uongo!
 
Watanzania tunatakiwa kutubu tulifanya kosa kubwa sana kuwapatia wanyarwanda nchi yetu ambao wamezoea kuua na kumwaga damu.
 
Maana yake baadhi ya mapendekezo aliyotoa Lissu kwa Samia walipokutana Belgium yameanza kufanyiwa kazi.

- Mbowe kaachiwa bila masharti.

- Passport.

Then.

- Kuruhusu mikutano ya siasa bila kanuni mpya, sheria ipo ifuatwe.

- Katiba Mpya.
Na pia amelipwa madai yake yote

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mi naona kama the opposite is true. Kuna mbinu nyingi sana za kumuua mmbu. Mama is very Krafty. Ila kwa muda Wangu mdogo hapa JF. Wenye kutafuta kazi unawajua ila sio CCM.
Thubutu! Ccm wako 100 kazi zipo20 kwanini wasitafute? Mnyukano upo kugombea hizo 20 ndiomaana kila mtu anaropoka lake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom