Tundu Lissu anavyomuelezea Marehemu Jumbe

Tundu Lissu anavyomuelezea Marehemu Jumbe

Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?


Yeye kaweka mchango wa Marehemu Jumbe na wewe weka wa Maalim Seif, usiwe unakurupuka tu kuleta lawama sisizokuwa na mashiko
 
.
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?

Nimeipenda sana comment yako hii...hapo ndipo unafiki wa wanasiasa unavyojionyesha wazi...Tundu Lissu hajasema chochote cha maana katika andiko lake...ameruka makusudi kuwataja wanasiasa waliomtumbukiza Jumbe mtegoni...Ndiyo maana mimi siasa sipendi kabisa....Lissu angefanya cha maana kama angewataja wote waliomhadaa Jumbe lakini kwenye kikao cha NEC wakaingia 'mitini'...Tundu Lissu asituambie chochote kuhusu suala hili baadhi yetu tunajua sana kilichotokea na hatuwezi kuweka hapa mambo hayo....Watu wanafiki sana, tena sana...naishia hapo...inaudhi sana
 
ila za Lisuu siyo za kusadikika ama??? kweli watanzania wengi hatutumii akili zetu na tunatumia makilio kusema. Hapa siyo mambo ya siasa kama Lissu akitaka kusema ukweli inatakiwa ambomoe hata Seif ndiye chanzo cha mzee Jumbe kutiwa kuzuizini Kigamboni
Nisome vizuri. Acha mihemuko. Huyo jamaa niliyemjibu anataka kuleta hadithi za kusadikika.
 
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?
Hapo alikua anamzungumzia Jumbe sasa Maalim Seif anaingiaje.....?? After all ulichotaka akiandike tayari ww unakijua sasa ilikua na haja gani ya yy kuandika?? Kaandika ambayo anahisi ww na wenzako kama ww hamjui......
 
Nisome vizuri. Acha mihemuko. Huyo jamaa niliyemjibu anataka kuleta hadithi za kusadikika.
Nimekusoma vizuri ndiyo maana nimekuuliza. Maana kama Lissu anataka kusema ukweli kama anavyotaka tumwamini anatakiwa kutueleza pia kuhusika kwa Maalim Seif kada namba moja wa CCM na mttoto wa kufikia wa mzee Nyerere. Mara zote tusiwe tunaingizwa katika mitego ya wanasiasa bila kuwahoji. Huyu uliyemjibu anajua kabisa nini alichokiongea Lissu nijuavyo mimi ana amini Lissu kasema ukweli lakini point yake anataka Lissu asiwe biased sababu tu Seif ni wa UKAWA na ndipo wewe pia umenaswa na ulimbo wa mapenzi yako na UKAWA lakini elewa sisi wengine siyo wanachama hivyo kuna wakati ninyi watu wa vyama hamatapenda comments zetu hata CCM pia hawatapenda
 
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?
huo mchango wa maalim seif weka wewe...yeye ameweka mtazamo wake...sasa utakaka akuandikie na wewe..
 
Nimekusoma vizuri ndiyo maana nimekuuliza. Maana kama Lissu anataka kusema ukweli kama anavyotaka tumwamini anatakiwa kutueleza pia kuhusika kwa Maalim Seif kada namba moja wa CCM na mttoto wa kufikia wa mzee Nyerere. Mara zote tusiwe tunaingizwa katika mitego ya wanasiasa bila kuwahoji. Huyu uliyemjibu anajua kabisa nini alichokiongea Lissu nijuavyo mimi ana amini Lissu kasema ukweli lakini point yake anataka Lissu asiwe biased sababu tu Seif ni wa UKAWA na ndipo wewe pia umenaswa na ulimbo wa mapenzi yako na UKAWA lakini elewa sisi wengine siyo wanachama hivyo kuna wakati ninyi watu wa vyama hamatapenda comments zetu hata CCM pia hawatapenda
Bado hujanisoma jibu nililompa huyo Kiranga. Namuelewa Jumbe fika, na hata niliwahi kusafiri naye kikazi kwenda Makambako mwaka 1981 tukitumia treni ya Tazara katika moja ya ziara zake. Sibahatishi na siongopewi na Lisu.
 
Duh Mzee wa watu kajifia na kinyongo kikubwa lakini laana ya kuwauza wazanzibar iliendelea kumtafuna hadi mauti yalipomkuta.

Mzee A Jumbe alikubali kuziunganisha TANU na ASP kwasababu aliamini Mwl Nyerere angempachika uRais wa JMT.Katika uhai wa muungano hakuna Rais wa Zanzibar aliyefanya ziara nyingi katika mikoa ya Tanganyika kama Mzee Jumbe hakuna na wala hatakuja kutokea hata siku moja.Inaelekea Mwl Nyerere alimwandaa lakini kuibuka kwa Marehemu Sokoine Waziri Mkuu wa wakati wake kulififisha ndoto za Jumbe kuchukua mikoba ya Mwl Nyerere ambaye tayari alishajiandaa kuondoka ikulu ya magogoni kilichochelewesha ni vita ya Kagera ilibidi Mwl aongeze muda kidogo.

Baada ya Jumbe kuona nyota ya Sokoine inazidi kuwaka akaanzisha madai ya kumezwa kama si Sokoine ambaye tayari alionekana wazi angechukua mikoba Jumbe asinge piga kelele wala kuleta madai ya kumezwa.Wakati TANU & ASP zinaunganishwa alijua wazi Zanzibar ingemezwa lakini tamaa ya madaraka ya wakati huo ilimnyamazisha.

Wale wote wanaomshabikia Jumbe wajiulize ni kwanini alikubali kuunganisha TANU & ASP halafu akaja kuikana baadae.Nini ilikuwa sababu ?????.
 
Ana damu mikononi mwake.

Alipokufa Karume watu wengi walikamatwa majumbani, walichinjwa magerezani, walipotea mabarabarani. Aboud Jumbe was in charge.

Kwenye Muungano Jumbe hakuwa tofauti na viongozi wengi wa Zanzibar wanaohoji Muungano: ameishi, amefia Tanganyika.
 
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?
Hilo tu ndio umuite mtu mnafiki? Ulitaka aweke kila mtu?
 
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?
Mwandishi wa Makala ndio anayechagua fact zipi atumie ili kujenga hoja yake. Uķiona Makala yake ina bias unaandika revieew yako na kumcriticize. Otherwise utakua unapiga kelele tu. Mwandishi ndiye anayechagua nini aseme na nini asiseme. Mbona hukosoi historia ya Tanzania inavyopotoshwa?
 
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?
Wapo ambao hatujui vizuri hiyo historia ya Maalim Seif kuhusu unoko aliofanya wa kusababisha Jumbe kung'olewa kama vipi tupia uzi wako tupate fact kamili
 
Tundu Lissu yupo sahihi kabisa wale wanafiki wa kujipendekeza watatuma salaam za kinafiki
 
Tundu Lisu mnafiki mbona hajaweka mchango wa Maalim Seif sahariff hamad kwenye kung`olewa kwa Jumbe?.Naona anaruka ruka tu hakuna mahali anamtaja seif shariff hamad kwa kuwa anaye UKAWA anafikiri watu hawajui historia?
usiulize usivyovijua. Maalim wako huyu ndiye aliyemnafikisha Jumbe kwa mwalimu baada ya kumpelekea mswada wa kitabu alichokuwa anakiaandaa Jumbe juu ya muungano kilichokuwa na jina la partnership. Mnafiki sana huyo na dhambi hiyo itamla maisha.
 
Back
Top Bottom