.
Nimeipenda sana comment yako hii...hapo ndipo unafiki wa wanasiasa unavyojionyesha wazi...Tundu Lissu hajasema chochote cha maana katika andiko lake...ameruka makusudi kuwataja wanasiasa waliomtumbukiza Jumbe mtegoni...Ndiyo maana mimi siasa sipendi kabisa....Lissu angefanya cha maana kama angewataja wote waliomhadaa Jumbe lakini kwenye kikao cha NEC wakaingia 'mitini'...Tundu Lissu asituambie chochote kuhusu suala hili baadhi yetu tunajua sana kilichotokea na hatuwezi kuweka hapa mambo hayo....Watu wanafiki sana, tena sana...naishia hapo...inaudhi sana