Nimewahoji watu zaidi ya mia moja, ambao ni kutoka vyama mbali mbali wakiwemo CHADEMA na hata wasiokuwa na vyama, kwa kweli wengi waliomsikiliza wamesema waliliona kosa la uhaini mwanzo tu ndani ya hotuba yake.
Wengine walifika kusema Lissu hakumungunya maneno wala kupiga mafumbo ,aliweka kila kitu wazi, mmoja alijibu hana ujuzi katika kazi ya uhakimu lakini anaweza kumtia hatiani Mh.Lisu maana mahakimu huwaga hawaungu sana wakipata ulaini.
Pia soma > Pre GE2025 - DSM - Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025
Nahisi kwa upande wangu, inawezekana Lisu anapuliza au ni laana imempata kwani amekuwa akimtupia maneno Rais Samia yasiyo na heshima akitumia lugha ambayo ikiwashitua wengi hata wenzake, na wengie wakimueleza kuwa atumie busara na mamneno ya kistaalabu kuliko kuonekana anazungumza kama aliepoteza akili ,akisahau wema wa Samiya.
Mazungumzo baada ya habari hii kesi ni nzito sana sana,itokee tu wamchulie Lisu ni mgonjwa wa akili hapo anaweza kuachiliwa na pengine azuiwe kushiriki mambo ya siasa kwa muda wa miaka kumi na tano, ila mara hii hatoki.
Na kwa vile nchi nyingi za Afrika zimeanza kuelekea muelekeo wa Kitaore ,hawatasikiliza tena maneno kutoka uzunguni.
Yale ya kuna jumuia hii na ile inasema hivi na vyile kwa sasa wacheni kuweka muega huko.
Wengine walifika kusema Lissu hakumungunya maneno wala kupiga mafumbo ,aliweka kila kitu wazi, mmoja alijibu hana ujuzi katika kazi ya uhakimu lakini anaweza kumtia hatiani Mh.Lisu maana mahakimu huwaga hawaungu sana wakipata ulaini.
Pia soma > Pre GE2025 - DSM - Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025
Nahisi kwa upande wangu, inawezekana Lisu anapuliza au ni laana imempata kwani amekuwa akimtupia maneno Rais Samia yasiyo na heshima akitumia lugha ambayo ikiwashitua wengi hata wenzake, na wengie wakimueleza kuwa atumie busara na mamneno ya kistaalabu kuliko kuonekana anazungumza kama aliepoteza akili ,akisahau wema wa Samiya.
Mazungumzo baada ya habari hii kesi ni nzito sana sana,itokee tu wamchulie Lisu ni mgonjwa wa akili hapo anaweza kuachiliwa na pengine azuiwe kushiriki mambo ya siasa kwa muda wa miaka kumi na tano, ila mara hii hatoki.
Na kwa vile nchi nyingi za Afrika zimeanza kuelekea muelekeo wa Kitaore ,hawatasikiliza tena maneno kutoka uzunguni.
Yale ya kuna jumuia hii na ile inasema hivi na vyile kwa sasa wacheni kuweka muega huko.