Wanajf naona mbunge wetu lisu anaendelea kuwaburuza wabunge wote wa bunge la tanzania.
Nimesukumwa na hoja ya kwamba ana uwezo wa kusimamia anachokisema(hateteleki),jana amenifurahisha sana pale alipokuwa ananukuu baba wa taifa kuwamaliza mafisadi jairo na wenzake.
Hivyo naaaamua kumpa A++ ya kazi nzuri
JE KUNA ANAYEBISHA???????KAMA WABISHA TOA SABABU
Nimesukumwa na hoja ya kwamba ana uwezo wa kusimamia anachokisema(hateteleki),jana amenifurahisha sana pale alipokuwa ananukuu baba wa taifa kuwamaliza mafisadi jairo na wenzake.
Hivyo naaaamua kumpa A++ ya kazi nzuri
JE KUNA ANAYEBISHA???????KAMA WABISHA TOA SABABU