Tundu Lissu amjibu Biswalo Miganga kuhusu kudai ni kosa la jinai kuongeza maneno kwenye Wimbo wa Taifa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,034
144,387
Mh. Jaji Biswalo Mganga, Katiba yetu haiutambui wala kuutaja Wimbo wa Taifa mahali popote. Sheria ya Nembo za Taifa haitambui wala kusema chochote juu ya Wimbo wa Taifa! Sasa inakuwaje kinyume cha Katiba na kosa la jinai kuongeza maneno 'Mungu ibariki CHADEMA' kwenye Wimbo huo?gaga
 
Back
Top Bottom