Kuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.Lissu lissu lissu mungu akupe nguvu umalize salama
Mmeshamaliza uhakiki?Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
kuna dalili zote CCM tutapoteza huu uchaguzi.
Na Uyole..Usisahau na mwanjelwa
Masikini ,mpaka umekosa hoja kabisa!!Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Sasa naelewa kwa nini Wapambe wa Magufuli wanachoma moto ofisi za CHADEMA..
Wachome tu moto ofisi zetu kama itamasaidia lile NUNDU la kichwani, kupungua kuvimba , vinginevyo.. Hiki KIMBUNGA kinawasomba kweli safari hii..
Wavimbe Wapasuke
#NIYEYE
#LISSURAIS2020