safi sana,Technician stella manyanya anasemaje kwa hilo?
Antipas!
Mchekini Mh. Tindu Lissu anavyo kandamiza Magamba Bungeni now...
Lissu namba nyingine,nimemsikiliza mwanzo mwisho,mwenye hotuba aipost humu JF ili iwafikie wengi zaidi
Wakuu nimeisha sema kwenye thread yangu kuwa Mhe Makinda Ndugai na wasaidizi wa Spika wamejipa uwakiri wa CCM na serikali hawako pale kwa maslahi ya taifa letu bali kwa kuangalia maslahi ya chama CCM period!!!Ndugai anataka wapinzani watoe maoni/mawazo yao (wapinzani) au yake yeye Ndugai na mabosi wake? Na sioni ni kwanini Ndugai kama muongoza kikao cha bunge anajiingiza kwenye mijadala yenyewe. Mwaka jana alikataa sehemu ya hotuba ya Lema isisomwe, leo anataka marebesho ili yaendane na mawazo yake? Huyu Ndugai yuko kwenye medication au tatizo ni nini hasa?
Lissu namba nyingine,nimemsikiliza mwanzo mwisho,mwenye hotuba aipost humu JF ili iwafikie wengi zaidi
Tume ya Katiba hela yote ya kodi inachukua yenyeweTume ya katiba
Ndugai anataka wapinzani watoe maoni/mawazo yao (wapinzani) au yake yeye Ndugai na mabosi wake? Na sioni ni kwanini Ndugai kama muongoza kikao cha bunge anajiingiza kwenye mijadala yenyewe. Mwaka jana alikataa sehemu ya hotuba ya Lema isisomwe, leo anataka marebesho ili yaendane na mawazo yake? Huyu Ndugai yuko kwenye medication au tatizo ni nini hasa?
tumesema hapa jamvini kumbe kwenye mjengo kuna vichwa wanafutilia hili sakata, watazima lakini mwisho litafumuka tuu!!!!!msemaji wa kambi ya upinzani kuhusu wizara sheria na katiba mh tundu lissu amedai kuwa naibu mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa mr jack zoka, act ahmed msangi na rama ni miongoni mwa watuhumiwa ktk sakata la mateso ya dr s. Ulimboka huku akirefer gazeti la mwanahalisi. Alielezea kuwa kutesa ama kutaka kuua ni kosa la jinai lililotendwa na watuhumiwa hao. Wakati akitaka kuelezea maoni ya kambi rasmi ya upinzani kuhusu sakata hilo, muda uliisha. Nikipata hotuba nzima ya upinzani nitaiweka humu.
Ananukuu matukio mengi sana hasa rushwa za uchaguzi, Uteuzi wa wakuu wa wilaya na Mikoa ambao woote ni wabunge wa viti maalumu. Lissu anahoji kwa mujibu wa katiba tuliyonayo saa mkuu wa wilaya au mkuu wa Mkoa ni wa mtumishi wa serikali ambayo inapaswa kujibu hoja za wabunge waliopo bungeni, (ieleweke kuwa Bunge ni mhimili tofauti na ule wa serikali) sasa je wabunge waha wa kuteuliwa wanafanya nini bungeni wakati wanapaswa kutekeleza yanayojadiliwa bungeni? Pili; wanapokuwa bungeni wanakuwa wanakosoa serikali hiyohiyo ambayo imewaajiri?
Source ni TBC Bungeni leo..