Lissu namba nyingine,nimemsikiliza mwanzo mwisho,mwenye hotuba aipost humu JF ili iwafikie wengi zaidi
Hivi wakuu wa mikoa/wilaya ambao pia ni wabunge wanalipwa mishahara yote miwili? Na wanapokuwa bungeni nani anafanya kazi zao mkoani/wilayani? Na kwanini kulundika madaraka kwa mtu mmoja?
Imewekwa hapo juu...Hongera sana Tundu Lissu, mwisho wa UJINGA huu wa CCM ni katiba mpya.
Hivi yule FUNDI MCHUNDO Stella Manyanya alikuwepo? Tunaomba mtywekee hiyo hotuba ya Tundu Lissu hapa JF
Mbona mnatunyanyasa sana Matechnician hata sisi hatukubali.safi sana,Technician stella manyanya anasemaje kwa hilo?