Mna rafu gani safari hii?
Kura zitajumlishiwa ikulu?
Tuna mtaji wa kura za masikini,wakulima wanawake na wasiosoma. Tuone kama nyinyi mtaingia Ikulu na kura za wanafunzi wa vyuo
Mna rafu gani safari hii?
Kura zitajumlishiwa ikulu?
Hiki chadema na wabunge wake wa mipasho bungeni
Sweetlady nashauri wakati unaenda kitchen party Mpitie mkigoma naona anajikita zaidi kwenye umbea utakuwa umeisaidia sana jf mkuuToa ujinga hapa......sasa hapo cha kukushangaza ni kipi?.....acha umbea mtoto wa kiume!
Hivi magazeti ya Tanzania yanatatizo gani hasa? Au ni ufinyu wa watu kuelewa role ya media? Hivi mbona tunaona sehemu mbalimbali duniani viongozi wakiwajibika kwa yale yaliyoandikwa magazetini? Magazeti ya Tanzania yana nini hasa? Tubadilike bana. Rwanda watu wamekula mvua kwa kile walicho-publish. Such is the power of media. Kama gazeti halisemi ukweli kwanini serikali iendekeze u-ndugai (mpaka sasa sijamwelewa) kupuuza wakati sheria zinazo-govern media zipo? Kumbe basi kuna haja gani ya kusoma magazeti wakati kila kinachoandikwa hakipaswi kuaminiwa? Hebu nissaidieni wadau. Hii ni kero yangu namba moja kati ya kero mbili nilizonazo.
Tuna mtaji wa kura za masikini,wakulima wanawake na wasiosoma. Tuone kama nyinyi mtaingia Ikulu na kura za wanafunzi wa vyuo
Sweetlady nashauri wakati unaenda kitchen party Mpitie mkigoma naona anajikita zaidi kwenye umbea utakuwa umeisaidia sana jf mkuu
Hivi wakuu wa mikoa/wilaya ambao pia ni wabunge wanalipwa mishahara yote miwili? Na wanapokuwa bungeni nani anafanya kazi zao mkoani/wilayani? Na kwanini kulundika madaraka kwa mtu mmoja?
Kama kuna makosa makubwa mnayofanya katika chama chenu (ccm) basi ni kufikiri kuwa bado ccm ina ushawishi vijijini. Yawezekana hujawahi kutembelea sehemu kubwa ya Tanzania, mikoani na vijijini. Fanyeni utafiti muone kama bado wananchi wanawaamini.
Ukweli ni kwamba nchi ilishaondoka mikononi mwa ccm tangu 2010, nguvu ya dola ndo imeendelea kuwaweka madarakani. Hata hivyo nayo imeanza kuwaacha.
Sio kosa lako ni mataptap unayofakamia!
Swali lako ni zuri na la muhimu sana, lakini sio sehemu yake anzisha thread tuchangie ndugu.Hivi wakuu wa mikoa/wilaya ambao pia ni wabunge wanalipwa mishahara yote miwili? Na wanapokuwa bungeni nani anafanya kazi zao mkoani/wilayani? Na kwanini kulundika madaraka kwa mtu mmoja?
AKA Gangsters wa Thika, KenyaGamba, AKA Mabwepande, AKA the killers.
Hao watu unawaongelea wako kimanzichana, msoga, lindi kisiju na utete.Tuna mtaji wa kura za masikini,wakulima wanawake na wasiosoma. Tuone kama nyinyi mtaingia Ikulu na kura za wanafunzi wa vyuo
Hao watu unawaongelea wako kimanzichana, msoga, lindi kisiju na utete.
Mtaji mwingine?
na ndo huo ukanda ndo bado unasubiri kukombolewa.Kama unakumbukumbu za historia ya Tanzania basi utakubaliana nami kuwa ukanda wa pwani ndio ulioanza vuguvugu za kudai uhuru. Huo ukanda wenu wa kaskazini wala haukuwa na mpango wa kudai uhuru nashangaa sasa mnaibuka eti mna uchungu na Tanzania . Usikubali kudanganyika kijana