Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Naamini Bwana atafanya njia na utapona haraka!!!
Dah.....Aisee!
Sijui atapasuliwa mara ngapi tu!
Mkuu ulimiss Press ya mwisho ya Mbowe?Naona Chadema baada ya kupiga hela mzigo umeachiwa familia sasa.Tuliambiwa msemaji wa afya ya Lissu hatakuwa mwingine bali Mbowe sasa naona familia imeingilia kati au imetekelezwa na maharamia ya chadema !
UGUA POLE LISSU ILA TAMBUA CDM IMEKUTUMIA TU KAMA CHOMBO CHA KAMPENI ZA KISIASA NA SASA UMEBAKI NA FAMILIA YAKO....WAPIGA SELFIE WOTE WAMEONDOKA NA SASA WATAENDA KUPIGA SELFIE NA DR SHIKA.
Amensikia Mungu wangu wa mbinguni anavyomtia moyo ndugu yetu mpendwa Tundu Lissu kupitia sala yangu hii fupi hapa chini....
Basi, watu wote wakulao wataliwa; na adui zako wote watakwenda kufungwa; kila mmoja wao; na hao waliokuteka nyara watatekwa; na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo. ASEMA BWANA!
Tazama, tufani ya BWANA, yaani, ghadhabu yake, itakuwa ni tufani ya kudumu; itawaangukia waovu vichwani. ASEMA BWANA!
Nami nitakurudishia afya, na pia nitakuponya jeraha zako. ASEMA BWANA!
Kwa sababu hiyo usiogope, Ee Tundu Antipas, mtumishi wangu; wala usifadhaike. ASEMA BWANA!
Maana mimi ni pamoja nawe, nikuokoe; maana nitawakomesha kabisa watesi wako wote huko. ASEMA BWANA!
Heshima, Utukufu, Mamlaka, Nguvu na Enzi vyote ni vyako Mungu. AMEN.
Ndugu ukumtuhumu baba yako ni mchawi usitarajie ukiwa kitandani baba na wa ukoo wako wataonekana, usije singizia wamekuja kukumaliza?Mungu amponye .Ila katika kitu ninachosikitika ni wabunge wa CCM kweli mbunge mwenzao anaumwa hata kwenda kumpa pole wamekatazwa.Nilikuwa na mwona Magu "MKRISTO"mzuri ila kwa hili nimeshangaa sana sana .Nimemwomba Mungu na kumshukuru ila sijaupatia picha utawala huu.Tumelelewa kwa misingi ya "KUSAMEHE" kupendana na kuheshimiana ili tupate amani na baraka mioyoni mwetu.Sikutegemea kwa miaka niliyo nayo nikione hiki kitu Tanzania.Sijaweza kuamini kabisa kuwa tunaishi kama tunavyoishi sasa.Ila Neno moja tu TUSHUKURU KWA KILA JAMBO.MUNGU NIWAMINIFU .Zaburi ya 41
Ni Mungu tu ndiye anayejua. Kwa vyo vyote vile atakuwa amevunja rekodi ya dunia, at least ya mwaka huu. Pole sana TL na tunawaomba chadema msimchoke kumhudumia na kumgharimia.Aisee!
Sijui atapasuliwa mara ngapi tu!
Mungu hamnyimi kiumbe chake kila kitu, alikunyima akili akakupa upumbavu.Naona Chadema baada ya kupiga hela mzigo umeachiwa familia sasa.Tuliambiwa msemaji wa afya ya Lissu hatakuwa mwingine bali Mbowe sasa naona familia imeingilia kati au imetekelezwa na maharamia ya chadema !
UGUA POLE LISSU ILA TAMBUA CDM IMEKUTUMIA TU KAMA CHOMBO CHA KAMPENI ZA KISIASA NA SASA UMEBAKI NA FAMILIA YAKO....WAPIGA SELFIE WOTE WAMEONDOKA NA SASA WATAENDA KUPIGA SELFIE NA DR SHIKA.
Kama JK angekuwa ndiye rais, angekuwa ameshaenda kumjulia hali au hata kumtuma waziri wake.Mungu amponye .Ila katika kitu ninachosikitika ni wabunge wa CCM kweli mbunge mwenzao anaumwa hata kwenda kumpa pole wamekatazwa.Nilikuwa na mwona Magu "MKRISTO"mzuri ila kwa hili nimeshangaa sana sana .Nimemwomba Mungu na kumshukuru ila sijaupatia picha utawala huu.Tumelelewa kwa misingi ya "KUSAMEHE" kupendana na kuheshimiana ili tupate amani na baraka mioyoni mwetu.Sikutegemea kwa miaka niliyo nayo nikione hiki kitu Tanzania.Sijaweza kuamini kabisa kuwa tunaishi kama tunavyoishi sasa.Ila Neno moja tu TUSHUKURU KWA KILA JAMBO.MUNGU NIWAMINIFU .Zaburi ya 41
Lini hiyo walisema?Jingalao kweli ni jingalao maana mara ya mwisho mbowe alisema wao walikuwa wamekabidhi jukumu la usemaji kuhusu afya ya lisu kwa familia,sasa wewe unaesema mbowe alisema wataendelea kuwa wasemaji lisu umezipata wap
Ni baada ya kuona kuna gharama kubwa zinaenda kutokea na walishakiuka taratibu za matibabu ya mbunge.....kwa nini chama kiachie matibabu katikati??Mkuu ulimiss Press ya mwisho ya Mbowe?
nikukumbushe tu, alisema kuanzia sasa kila kitu wanakabidhi kwa familia.
Unajua maneno mengine mnaleta confusion isiyokuwa na Mbele Wala nyuma...shujaa wa nini Sasa unataka kumaanisha hapa, wa Taifa kuhusu nini..??????Ugua pole Shujaa wa Taifa letu Tanzania
Your name tells us who you are . Jong also! !!!!! indeed jingalaoNaona Chadema baada ya kupiga hela mzigo umeachiwa familia sasa.Tuliambiwa msemaji wa afya ya Lissu hatakuwa mwingine bali Mbowe sasa naona familia imeingilia kati au imetekelezwa na maharamia ya chadema !
UGUA POLE LISSU ILA TAMBUA CDM IMEKUTUMIA TU KAMA CHOMBO CHA KAMPENI ZA KISIASA NA SASA UMEBAKI NA FAMILIA YAKO....WAPIGA SELFIE WOTE WAMEONDOKA NA SASA WATAENDA KUPIGA SELFIE NA DR SHIKA.
Ni shujaa wa Taifa msema kweli na Sumu kwa wajinga wa lumumba..overUkisema shujaa wa ufipa itapendeza.