Binafsi bado ntaendelea kuamini kuwa serekali ilihusika kwenye hujuma dhidi ya Lissu, mpaka ithibitishwe vinginevyo. Hawawezi kujihujumu kwa manufaa yao ya kisiasa kama unavyo amini, hivi kama wanaandamwa hadi kuharibu bustani zao, hivi wangefanywaje kama kama wangemimina risasi zote zile for political benefits.Una ushahidi gani kama Serikali inahusika? Huko kwenu kuna mambo mengi. Chacha Wangwe alipotezwa kinoma na wengine walionyemelea kiti kufukuzwa kama kina Kitila Mkumbo, Zitto Kabwe, Shonza, Tumbili na kadhalika. Upo uwezekano wahuni wenu wakachukua advantage ili kuichafua Serikali ambayo haikuwa na mpango wowote na huyo kichaa wenu.
Uhusika mwengine wa serekali kumpiga risasi Lissu una funuliwa na jinsi walivo li handle swala hilo, yahani wame lihandle kama la soweto arusha, pale serekali ilipo warushia raia bomu.