Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Ingeanza na zako ingekuwa vizuri. Maana unaongelea na kufikiri kwa makalio yako machafuJe Jf Ina haja ya kupima akili wanachama wake ?
Ingeanza na zako ingekuwa vizuri. Maana unaongelea na kufikiri kwa makalio yako machafuJe Jf Ina haja ya kupima akili wanachama wake ?
NashangaaHuko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Acha Kumfananisha Lissu na takatakaAna tofauti gani, na Pole pole alivyokua analala na kuamka Chanel 10 kwenye uchaguzi 2015??
Sisi ndio wabongo uzushi ni premium attractionHuko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Hivi kwanini umasikini wa akili na hela unafanya mtu kuwa mwehu ?Ingeanza na zako ingekuwa vizuri. Maana unaongelea na kufikiri kwa makalio yako machafu
Uko sahihi kwa kujiangalia maana hunijui mimi. Kwa hili nakubaliana nawe kuwa umaskini wako wa akili utakutuma siku moja uniPM nikusaidie kwa vile ninazo ndo maana nina uwezo wa kuendelea kupambana nawe wakati huu ambako nyumbani ni usiku. Tia akilini Dk Father of AllHivi kwanini umasikini wa akili na hela unafanya mtu kuwa mwehu ?
Ndiyo VOA hawa hawa walioripoti kuwa Dr Magufuli alipelekwa Kenya kwa matibabu na kuaminisha dunia hivyo? Ndiyo VOA hawa hawa waliyoripoti kuwa mwaka jana Tanzania yungeokota maiti ambazo zingezagaa barabarani kutokana corona? Ni VOA hawa hawa wanaokaa kimya kila siku kwa mauaji ya kikatili yanayofanywa Marekani? Ama kweli Lissu thamani yake imeisha kabisa!Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)
Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala ya kisiasa na kidemokrasia anahitajiwa na Vyombo karibu vyote vikubwa vya Marekani kwa ajili ya Mahojiano , Sisi tayari tunaye mwakilishi kwenye ziara yake hiyo na tutajitahidi kuweka video za mahojiano yake yote hapa hapa JF kwa ajili ya faida ya wadau , Endelea kututegea sikio .
View attachment 1898806
That is a gwajiboy! Who is the complainant by the way?Huko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Utajua hujui! KalabagahoBado kuna vyombo vya habari vina muda wa kupoteza na Lissu really?
Baada ya kufa kibudu sio?! HahahBado hujazijua Spana za Lissu , Muulize jiwe alifikaje Mzena
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)
Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala ya kisiasa na kidemokrasia anahitajiwa na Vyombo karibu vyote vikubwa vya Marekani kwa ajili ya Mahojiano , Sisi tayari tunaye mwakilishi kwenye ziara yake hiyo na tutajitahidi kuweka video za mahojiano yake yote hapa hapa JF kwa ajili ya faida ya wadau , Endelea kututegea sikio .
View attachment 1898806
Na pm je alivyotudanganya Watz tena akiwa ndani ya msikitini kwamba Meko yupo ok na anachapa kazi wakati kiukweli alikuwa hoi au tayari inawezakana alikuwa ashafyekwa na corona..??Huko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Mungu akubariki kamanda Erythrocyte, mchango katika kuikomboa nchi hii tunauona na kuuthamini. Endelea kutujuzaMakamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)
Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala ya kisiasa na kidemokrasia anahitajiwa na Vyombo karibu vyote vikubwa vya Marekani kwa ajili ya Mahojiano , Sisi tayari tunaye mwakilishi kwenye ziara yake hiyo na tutajitahidi kuweka video za mahojiano yake yote hapa hapa JF kwa ajili ya faida ya wadau , Endelea kututegea sikio .
View attachment 1898806
Ukoo wenu mzima hautakuja kupata mtoto kama Lisu,Bado kuna vyombo vya habari vina muda wa kupoteza na Lissu really?
Please make sure unatuwekea video clipMakamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)
Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala ya kisiasa na kidemokrasia anahitajiwa na Vyombo karibu vyote vikubwa vya Marekani kwa ajili ya Mahojiano , Sisi tayari tunaye mwakilishi kwenye ziara yake hiyo na tutajitahidi kuweka video za mahojiano yake yote hapa hapa JF kwa ajili ya faida ya wadau , Endelea kututegea sikio .
View attachment 1898806
Pole ndugu, naona wote ndio mnazidi kuweweseka.Itakuwa na matokeo hayo kama SIRRO ndiye angekuwa ameshambuliwa. Tangu shambulio liwe agenda kuu ya CHADEMA kupata kiki ya kisiasa, na Lissu mwenyewe kutafuta huruma ndani na msaada nje ya nchi, wamefanikiwa nini. Mhusika anaendelea kuuguza majeraha wakati dereva wake, huko aliko, anakula bata. Unganisha dot, usiwe na mawazo ya kinyumbu
Ooh POLE,Nashangaa