YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Ushahidi wa kuwa alimkuta hospitali ni upi? Ripoti ya daktari tu ndio huonyeshi mtu kalazwa hospitali gani anaumwa Nini.Hospital iko kisheria.Huwezi lala kitandani ukajiweka madrip ukajipiga picha kuwa uko hospital.Ripoti ya daktari tu ndio huonyesha mtu Yuko hospitali yenye Jina lipi na kwa matibabu gani nkRais alitoa pole ya kuumwa kwa Lissu,Mama samia alienda kumwona akiwa Nairobi.Je,hao wote ni wajinga ila wewe bashite unawazidi akili?
Au unataka kusema Mama Samia aliporudi kutoka Nairobi atasema alimkuta Lissu yupo Guest House anakula bata tu?Think twice.