James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,205
- 1,509
Kuna watu wakurupukaji sana!
Ungeweka wazi vigezo vya ushindani halali tujadiliane.
Ha ha haDaah watu wamefukua kaburi ila nyani uliona mbali, na kweli karejea na anaendeleza alipoishia, moto anauwasha kweli kweli
All in all Lissu ni mwanaume wa shoka, mwamba kweli kweli ni jasiri sana, sikutarajia kama angerejea Tanzania ya Magufuli isitoshe na ujasiri ule ule kama hakuna kilichomkuta uko nyuma
Kuna siku Lissu alikamatwa akapelekwa Central, kipindi hicho Lissu alikua na makesi kibao, wandishi wakamuliza Mkewe kuhusu misimamo ya Lissu kwamba ndio inam'cost, mkewe akajibu huyu ndio Lissu anayemfaham toka ujanani wao, akaendelea akasema siku Lissu akibadilika akapiga magoti kwa watawala yeye atakua wa kwanza kudai talaka, nilishangaa kauli ile ya mkewe
Leo makamanda watakuunga mkono.
Umekurupuka? Next time, anza na tarehe, then content.Mtoa mda alitakiwa aandike hii facts way back to 2017 not now. Nyani Ngabu ni mzushi sana. Lkn siyo haba kwa yeye ku-disclose ya moyoni kwake against TAL kupitia hii post yake.
We shall overcome. AMENCCM imechokwa nchi nzima tunajua mtaiaba hadharani ila siku zenu zinahesabika
Tume ya Uchaguzi inalaumiwa bure. Ebu tuwe wa kweli, kwa kauli anazotoa Mgombea Urais wa CHADEMA, anaamini yanawashawishi wapiga kura kumpa ridhaa?Tume ya uchaguzi iwe huru, sio hii inayomtii mgombea mmojawapo wa uchaguzi. Hiyo ni kwa kuanzia.
Unataka kusema nini?Wewe hukuuona mkono hoja?...
Unataka kusema nini?
Kuna wakati hisia na chuki huzidi wakati tunapotoa maoni katika swala au jambo linalomuhusu mtu ambae Mara nyingi tunatifautiana nao ktk mitizamo mbalimbali. Hapo ndipo ntizamo wa babarosa ulipo angukia ndiyo maana wajuba wamemkalia kooni.Hahahaa naona watu mmemkomalia koo Barbarooo
Naona huko aliko hana amani kabisa kila akipita mtaani anahisi ananyoshewa vidoleKuna wakati hisia na chuki huzidi wakati tunapotoa maoni katika swala au jambo linalomuhusu mtu ambae Mara nyingi tunatifautiana nao ktk mitizamo mbalimbali. Hapo ndipo ntizamo wa babarosa ulipo angukia ndiyo maana wajuba wamemkalia kooni.
Tume ya Uchaguzi inalaumiwa bure. Ebu tuwe wa kweli, kwa kauli anazotoa Mgombea Urais wa CHADEMA, anaamini yanawashawishi wapiga kura kumpa ridhaa?
Nawaza na kujiuliza tu kama kauli zake zilivyojaa dharau kwa viongozi, tena wa ngazi za juu kabisa nchini (Rais, Spika, Jaji Mkuu, Viongozi wa dini) na vyombo vya Dola (Jeshi la Polisi, Uhamiaji), je, kwa mwananchi wa kawaida akipewa madaraka, itakuwaje?
Kama mpiga kura, ninayo maswali mengi ya kumuuliza, kampeni zikianza, kama ATATEULIWA na Tume kuwa mgombea.
Uko sahihi, je hao viongozi wa juu unadhani hatujui mwenendo wao kwenye uongozi? Nipe tofauti ya dhahiri kati ya lugha za Magufuli na Lisu. Naona unawachanganya viongozi wa dini, sijui uhamiaji nk, ili uweke kundi kubwa la kumfichia Magufuli. Lisu yuko hivyo kutokana na tabia za Magufuli, na yoyote anayelazimisha kuwa anatukanwa ama kukejeliwa na Lisu, ni yule aliyeamua kujivika umagufuli. Ana madhara gani kwa mwananchi wa kawaida, au hao viongozi wa ccm wanaoendesha dhuluma ndio wananchi? Achenia kujifichia kwa wananchi. Tendeni haki ili mdai heshima, sio mtende ufedhuli kisha mjifichie kwa wananchi.
Hahahaaa...ukizifisadi hizo hela za sadaka tunakupeleka Butimba.
Tatizo hao unowaita viongozi wa juu, wewe unawachukulia kama miungu fulani inayotakiwa kutukuzwa.Tume ya Uchaguzi inalaumiwa bure. Ebu tuwe wa kweli, kwa kauli anazotoa Mgombea Urais wa CHADEMA, anaamini yanawashawishi wapiga kura kumpa ridhaa?
Nawaza na kujiuliza tu kama kauli zake zilivyojaa dharau kwa viongozi, tena wa ngazi za juu kabisa nchini (Rais, Spika, Jaji Mkuu, Viongozi wa dini) na vyombo vya Dola (Jeshi la Polisi, Uhamiaji), je, kwa mwananchi wa kawaida akipewa madaraka, itakuwaje?
Kama mpiga kura, ninayo maswali mengi ya kumuuliza, kampeni zikianza, kama ATATEULIWA na Tume kuwa mgombea.
Hivi wewe unadhani kuwa kiongozi wa Juu ndio kuwa na busara? Hivi Ndugai Ana busara gani na nanhii naye Ana busara gani,anashinda mwaka mzima anaongea matusi tu jukwaani na mabarabarani.Tume ya Uchaguzi inalaumiwa bure. Ebu tuwe wa kweli, kwa kauli anazotoa Mgombea Urais wa CHADEMA, anaamini yanawashawishi wapiga kura kumpa ridhaa?
Nawaza na kujiuliza tu kama kauli zake zilivyojaa dharau kwa viongozi, tena wa ngazi za juu kabisa nchini (Rais, Spika, Jaji Mkuu, Viongozi wa dini) na vyombo vya Dola (Jeshi la Polisi, Uhamiaji), je, kwa mwananchi wa kawaida akipewa madaraka, itakuwaje?
Kama mpiga kura, ninayo maswali mengi ya kumuuliza, kampeni zikianza, kama ATATEULIWA na Tume kuwa mgombea.
Kuna madogo wa darasa la saba, walimuuliza mwalimu wao wa maarifa ya jamii.Hivi wewe unadhani kuwa kiongozi wa Juu ndio kuwa na busara? Hivi Ndugai Ana busara gani na nanhii naye Ana busara gani,anashinda mwaka mzima anaongea matusi tu jukwaani na mabarabarani.
Lissu anaongea ukweli mtupu.
Mtazoea tu,najua hamkuzoea.
Tindo,acha kabisa kubishana huyo kiumbe,yaani huyo Hana anachoelewa kabisa Ni mweupe kabisa.Haya mahesabu nimekupa vizuri kwenye uzi ule.
Kweli kabisa mkuu,Ndugai hastahili heshima yoyote.Kuna madogo wa darasa la saba, walimuuliza mwalimu wao wa maarifa ya jamii.
Bunge likiwa na spika hopeless kama Job Ndugai ni njia ipi inaweza kutumika kumtoa kwenye hicho kiti kabla ya miaka mitano