Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

Wewe ndiyo hujui kingereza hata hujaelewa kitu inaelelekea wewe ni mbumbumbu hata hujui kuwa Tundu Lisu hakujipeleka huko bali wenyewe ndiyo walimwalika baada ya wewe kumpiga Risasi akaenda kutibiwa huko, chanzo ni wewe kama wewe ungeacha njama za kumuua leo hii asingekuwa huko angekuwa nyumbani Tanzania anaendelea na kazi zake.
Vyovyote usemavyo, lissu kaongea kizungu ila hajajibu kiufasaa swali hata moja.
 
Ndugu zangu,

Kama wazungu wanatambua kuwa tuhuma za akina Tundu Lissu, Zitto Kabwe na wenzao kuwa ni za 'kutengeneza' basi wabadili mbinu.

kitendo cha waandishi wa media za kimataifa kuyaita madai ya Lissu kuwa ni ''base less allegations'' au ''inflamatory statement ni dhahiri wapo uchi.

Huenda Zitto Kabwe naye hajatupa mrejesho wa Mwenyekiti wa jumuiya za madola baada ya kuambiwa ''your allegations against Hon.Ndugai with respect to CAG are utter baseless''

Tuliwahi kusema hapa uongo haudumu na ndicho kilichotokea na zaidi umewaumbua watu mchana.

Ni dhahiri hata ule mpango wa akina Ngurumo kutafuta ''hadi ya ukimbizi'' Finland umeshindwa.

Tanzania yetu sote, tuipende,tuikumbatie.


Ni Ushoga unawasumbua (Si wanatetea ajenda ya ushoga hao), nahisi walikuwa wamepeleka vimbelembele vyao wakiwa na hisia kuwa wazungu watawapenda (akili za mashoga), wamekuta wazungu wana data za kutosha (The wazunguz have already researched and retain comprehensive information, even before they set for live TV interview appointment), Tanzania tutashuhudia mambo mengi sana kutoka kwa wachumia tumbo , kipindi hiki cha Kamanda JPM, watu wanajitoa akili kabisa... Ile HARDtalk ya Lissu nahisi anajuta kukutana na Stephen, maana amepigwa maswali ya kutosha hadi kachanganyikiwa akaamua kukunja sura tuu. Hahahahahahahahahahaaaaahh...Inflammatory information and baseless allegations.
 
Trilion 1.5 ipo wapi? Kujenga chato Airport kijijini ndiyo utendaji mzuri? Kupelekwa ndege Canada kutengeneza kwa bilion 13 ndiyo ku win utendaji mzuri? Kuwabambikia kesi kuzua mikutano ya siasa kula 10% ununuzi wa ndege ujenzi za reli nk ndiyo Utawala bora?
Hayo unayo yasema, - Muulizaji hayo ameyataja kama ni "specific instances"! - Muulizaji akasema " I point to systems" Sijui kama ulimuelewa!?
 
Ndugu zangu,

Kama wazungu wanatambua kuwa tuhuma za akina Tundu Lissu, Zitto Kabwe na wenzao kuwa ni za 'kutengeneza' basi wabadili mbinu.

kitendo cha waandishi wa media za kimataifa kuyaita madai ya Lissu kuwa ni ''base less allegations'' au ''inflamatory statement ni dhahiri wapo uchi.

Huenda Zitto Kabwe naye hajatupa mrejesho wa Mwenyekiti wa jumuiya za madola baada ya kuambiwa ''your allegations against Hon.Ndugai with respect to CAG are utter baseless''

Tuliwahi kusema hapa uongo haudumu na ndicho kilichotokea na zaidi umewaumbua watu mchana.

Ni dhahiri hata ule mpango wa akina Ngurumo kutafuta ''hadi ya ukimbizi'' Finland umeshindwa.

Tanzania yetu sote, tuipende,tuikumbatie.
Sitaki kuamini kwamba mpo baadhi yenu mnao subiri wazungu watambue shambulio dhidi ya Lissu ndo muamini kuwa lilitokea.
 
Hahahahahah akili za usiku hizi.Yaani lisu anasaka marafiki Ulaya. Mkiambiwa anatumiwa na mbuz dume mnakuja na mapovu. Hao unaowaambia kuwa huku hamna democracy kwamba ndio watakuja kufanya nini?Waje wamtoe magufuli wakuweke wewe au?Hahahahahah kweli Africa is a SHITHOLE CONTINENT. Yaani bado tuna wasomi ambao wanaamini bila mzungu hawawez fanya lolote na mzungu ndiye wakuja kusolve mattz yake.Yaani kwa jicho la tatu tu hoja itakayokuja kumpoteza lisu kwenye siasa ni UKIBARAKA. Now huwez ona lkn wananchi ukishawajaza Hii elimu basi kisiasa umeisha na hii ziara na zile kelele anazidi kujipambanaua ye ni nani.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Headmaster unachekesha kweli, kuna ubaya gani kusaka marafiki Ulaya? Waziri wetu wa mambo ya nje akienda Ulaya anafuata nini kama sio kusaka marafiki na kuboresha mahusiano? Au serekali ndio ina haki miliki ya kupata washirika huko Ulaya? Ccm ni marafiki wa China, je wanatumika na wachina?

Wazungu hawaji kumtoa Magufuli bali kura ndio zinatoa kiongozi, iwapo box la kura haliheshimiwi kuna shida gani ukipata rafiki mwenye nguvu kuhakikisha box la kura linaheshimiwa? Gaddafi aliwaumiza wote wasiomkubali, ni hao hao wazungu walitoa msaada wa yeye kutolewa. Na hata huyu Magufuli asipotii maamuzi ya wananchi hao marafiki watasaidia kumfanya atii box la kura.

Hiyo hoja ya kumuonyesha Lissu au mpinzani ni kibaraka huo ni ushindani wa kisiasa na kuna watu stahiki wa kupangua hoja hiyo kisiasa. Box la kura liheshimiwa tu, sio ile kutoka na mabox ya kura kwenda kujaza za ccm, ashinde kihalali hakuna mtu ana shida na hilo. Nakuhakikishia box la kura likiheshimiwa Magufuli anaweza kushinda ila kwa uwiano mdogo, na bunge haliwezi kuwa na wabunge wa ccm zaidi ya 60%. Hili piga ua garagaza habari ndio hiyo.
 
Hili pia lilikuwa tatizo la LIssu kuamini anakwenda kuulizwa mambo ya kupigwa risasi. Baada ya mahojiano hayo, unaweza ukaelewa nini mwandishi alitaka kujua toka kwa Lissu, bahati mbaya hakuweza kukieleza. Yeyey na watu wasiojulikana tuuu!

Watu waliokwenda kumpiga Risasi Tundu Lisu wanajulika baadhi yao ingawa wachache kati yao ndiyo bado kujulikana, yalikwenda magari mawili toka Dsm vx Toyota na Nissan nyeupe, siku ya Tukio la kushambulia ile vx ilipaki Getini katikati ndani yake akiwemo Le mutuz na Daud Arbaty Bashite na wasiojulikana na kwenye Nissan nyeupe walikuwemo jerry muro, cyprian Musiba wasiojulikana wawili na Heri kisanduku ambaye ndiye aliyempiga Risasi kwa maelekezo ya pupa toka kwa Cyprian musiba ambaye kitaaluma alipata kuwa asikari wa Jwtz miaka ya nyuma kidogo, cctv ziliwaona na picha zao zote zimeonekana vizuri ingawa cctv imefichwa nyumbani kw Bashite.
 
Headmaster unachekesha kweli, kuna ubaya gani kusaka marafiki Ulaya? Waziri wetu wa mambo ya nje akienda Ulaya anafuata nini kama sio kusaka marafiki na kuboresha mahusiano? Au serekali ndio ina haki miliki ya kupata washirika huko Ulaya? Ccm ni marafiki wa China, je wanatumika na wachina?

Wazungu hawaji kumtoa Magufuli bali kura ndio zinatoa kiongozi, iwapo box la kura haliheshimiwi kuna shida gani ukipata rafiki mwenye nguvu kuhakikisha box la kura linaheshimiwa? Gaddafi aliwaumiza wote wasiomkubali, ni hao hao wazungu walitoa msaada wa yeye kutolewa. Na hata huyu Magufuli asipotii maamuzi ya wananchi hao marafiki watasaidia kumfanya atii box la kura.

Hiyo hoja ya kumuonyesha Lissu au mpinzani ni kibaraka huo ni ushindani wa kisiasa na kuna watu stahiki wa kupangua hoja hiyo kisiasa. Box la kura liheshimiwa tu, sio ile kutoka na mabox ya kura kwenda kujaza za ccm, ashinde kihalali hakuna mtu ana shida na hilo. Nakuhakikishia box la kura likiheshimiwa Magufuli anaweza kushinda ila kwa uwiano mdogo, na bunge haliwezi kuwa na wabunge wa ccm zaidi ya 60%. Hili piga ua garagaza habari ndio hiyo.
Hahahahahah eti kuna shida gani lisu kutafuta marafiki Ulaya mbona serikali inatafuta. Duh Ahsante sana mkuu.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
The interviewer did a good research before the interview! Good! Next time go with some evidence not inflamatory allegation.
 
Ni Ushoga unawasumbua (Si wanatetea ajenda ya ushoga hao), nahisi walikuwa wamepeleka vimbelembele vyao wakiwa na hisia kuwa wazungu watawapenda (akili za mashoga), wamekuta wazungu wana data za kutosha (The wazunguz have already researched and retain comprehensive information, even before they set for live TV interview appointment), Tanzania tutashuhudia mambo mengi sana kutoka kwa wachumia tumbo , kipindi hiki cha Kamanda JPM, watu wanajitoa akili kabisa... Ile HARDtalk ya Lissu nahisi anajuta kukutana na Stephen, maana amepigwa maswali ya kutosha hadi kachanganyikiwa akaamua kukunja sura tuu. Hahahahahahahahahahaaaaahh...Inflammatory information and baseless allegations.
Wale ambao jamaa akikohoa wao wanapatwa na mafua wanakwamba kaongea points tupu.

Unatuhumu ukiwa huna ushahidi, kibaya zaidi hawezi kubadilika, anaongozwa na arrogance.

Ukiongozwa na kiburi huku afrika utawapata tu watu wa kukuona wewe ni genius lakini mbele ya wazungu uswahili unabakia nyumbani kwenu.
 
Headmaster unachekesha kweli, kuna ubaya gani kusaka marafiki Ulaya? Waziri wetu wa mambo ya nje akienda Ulaya anafuata nini kama sio kusaka marafiki na kuboresha mahusiano? Au serekali ndio ina haki miliki ya kupata washirika huko Ulaya? Ccm ni marafiki wa China, je wanatumika na wachina?

Wazungu hawaji kumtoa Magufuli bali kura ndio zinatoa kiongozi, iwapo box la kura haliheshimiwi kuna shida gani ukipata rafiki mwenye nguvu kuhakikisha box la kura linaheshimiwa? Gaddafi aliwaumiza wote wasiomkubali, ni hao hao wazungu walitoa msaada wa yeye kutolewa. Na hata huyu Magufuli asipotii maamuzi ya wananchi hao marafiki watasaidia kumfanya atii box la kura.

Hiyo hoja ya kumuonyesha Lissu au mpinzani ni kibaraka huo ni ushindani wa kisiasa na kuna watu stahiki wa kupangua hoja hiyo kisiasa. Box la kura liheshimiwa tu, sio ile kutoka na mabox ya kura kwenda kujaza za ccm, ashinde kihalali hakuna mtu ana shida na hilo. Nakuhakikishia box la kura likiheshimiwa Magufuli anaweza kushinda ila kwa uwiano mdogo, na bunge haliwezi kuwa na wabunge wa ccm zaidi ya 60%. Hili piga ua garagaza habari ndio hiyo.
Kuna watu hawana akili timamu,unaweza tumia mda wao kuwaelimisha, lkn wewe ngoja nikuache coz unajua nini unafanya. Mimi kama mwalimu mkuu siwez poteza mda kumfundisha mwanafunz anayejua nini anafanya.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Kwanza Lisu ameongea vizuri, kwa mara ya kwanza nimeamini Lisu km hana jaziba anaongea vizuri sana kithungu. Kithungu safi na kila jambo muhimu kuhusu siasa ya Tanzania kalighusa kwa ustadi kabisa. Maswali ya Interviwer yalikuwa yanataka Lisu a-justify na amefanya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hawana akili timamu,unaweza tumia mda wao kuwaelimisha, lkn wewe ngoja nikuache coz unajua nini unafanya. Mimi kama mwalimu mkuu siwez poteza mda kumfundisha mwanafunz anayejua nini anafanya.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Huna cha kunifundisha viwango vyako ni vya wanafunzi wa shule za kata, wale mnaowambia mwenge unaleta maendeleo.
 
Tundu Lissu Kasoma Shule Ya Msingi Mahambe, O-Level Ilboru Kisha Advance Galanosi Lakini Anahojiwa Nusu Saa Na Anaongea Kingereza Kilichonyooka Alafu Kuna Mtu Kasoma Mpaka PhD, Hajui kuongea Kingereza Ukimuuliza Kwanini Anakwambia "Mimi Mtoto Wa Maskini" Ndugu Wewe Ni MJINGA!!

Swali la ushoga mtego. Lissu kajibu kwa akili sana. Interviews kama Hard Talk ni ngumu jamani. Kama hauko vizuri kichwani au kama lugha inakupiga chenga, bora usiende. Kweli Tundu Lissu anajua kingereza na kichwani yuko vizuri. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Ndugai na Makonda hawajawahi kujihangaisha na Lissu - hata kwa kumuandikia ujumbe wa pole mbali ya kutokwenda kumuona hospital lakini leo wamekuwa wa kwanza kumtaka arudi Nchini. Wamejipa kazi ya Utabibu na Udaktari and in their medical opinion, TL ameshapona. Unafiki ulioje!

Rais wa zamani wa Marekani, Ronald Reagan, aliwahi kusema kwamba serikali huwa hazitatui matatizo bali huyapanga upya tu. Ukifikiri kwa undani,kuna ukweli dhahiri. Tizama matatizo yaliyopo leo. Hayakuwepo siku za nyuma? Kama yalikuwepo na bado yapo, serikali inatatua?

mr mkiki.

Beauty is in the eye of the beholder! Period.

Mtu unaulizwa 3x6=? wewe unajibu 2+3=5, halafu kuna mwana wa Adam anakuona wewe bonge la genius! Hii dunia ina mambo kweli!
 
Back
Top Bottom