IamPrince George
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 412
- 168
Hayo ni maneno ya msanii mkubwa wa Tanzania ajulikanae kama Tunda Man alipoweka wazi kuwa Tanzania inahitaji Rais mwenye uwezo wa kushughulikia matatizo ya wananchi na kukemea maovu bila kumwonea mtu haya.
Akasema Rais huyo ni Edward Ngoyayi Lowassa.
Akasema Rais huyo ni Edward Ngoyayi Lowassa.