Jopelo John
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 317
- 71
- Thread starter
- #21
Mimi sio Dalali mkuu. na wala Sijaficha bei nimetoa namba zangu za simu ili wadau wanipigie simu niwape bei. au watume email kwangu nitawajibu.We utakuwa dalali kuna cha juu hutaki boss ajue bora usitangaze biashara zako kama unaficha bei. Bei ndo kitu pekee knachomshawishi mtu mpaka anaanza kudadisi mengine nakupa siri hyo ndo kiunganishi/kichocheo cha biashara yako vinginevyo usitangaze maana huku mtaan yapo kibao maduka ya betry nao wanatoa sifa hzo hzo tena muda mwingne uzidisha
halafu ngoja niwape mfano mmoja miaka 2 nyuma nilikuwa kampuni moja nilikuwa nauza brand nyingine ya betri na nimeuza hizo betri sana kwa wateja mbali mbali na niliweka tangazo lake humu JF na niliweka pamoja na bei zote, baadaye miezi 6 bei zilibadilika na ikawa wateja wapya wanasoma tangazo wananipigia simu lakini nikiwaambia bei imebadilika hawataki kuelewa na wanaenda kununua sehemu nyingine. kwahiyo nimejifunza kupitia makosa yangu.