KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
kama wewe ni muislam huwa unakwenda msikitini kufanya nini wakati Quran imeandikwa zaidi ya miaka 1500 iliyopita kuna jipya kwenye Quran? Na kama wewe ni Mkristo huwa unakwenda Kanisani kufanya nini wakati yesu alishapaa kwenda mbinguni zaidi ya miaka 2000 iliyopita, lipi jipya unalolifuata au kulitafuta kanisani? Tuache unafiki kila maslahi ya mafisadi yanapoguswa kwa kujifanya hakuna "jipya!
is it even worth it me answering you ? NO, it aint !