KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
kwi kwi kwi....
taratibu jamani wasije wakakimbia au kuanza mitusi jamvini!
naona bi. saddam hana haja ya maua na kuimbiwa nyimbo maana keshafurahi tayari !
kwi kwi kwi....
taratibu jamani wasije wakakimbia au kuanza mitusi jamvini!
Ukishafahamu Kiswahili fasaha njoo tuendelee na mjadala naona unataka kubadili mwelekeo wa hii thread na hiyo sio nia yangu. The issue ni wewe kutumiwa na makuwadi wanaotafuna pesa tunayolipa kodi. Sasa kama wewe kwa ufahamu wako mdogo wa kufikiria lazima ukae Tanzania ndio ulipe kodi hilo limekupiga chenga.
Upeo finyu wa kutokuelewa kitu kidogo kama hiki unanitia shaka hata wale unaowawakilisha.
kadampinzani
Ukishafahamu Kiswahili fasaha njoo tuendelee na mjadala naona unataka kubadili mwelekeo wa hii thread na hiyo sio nia yangu. The issue ni wewe kutumiwa na makuwadi wanaotafuna pesa tunayolipa kodi. Sasa kama wewe kwa ufahamu wako mdogo wa kufikiria lazima ukae Tanzania ndio ulipe kodi hilo limekupiga chenga.
Upeo finyu wa kutokuelewa kitu kidogo kama hiki unanitia shaka hata wale unaowawakilisha.
niliuliza swali hapa kama ccm siku hizi hawana watu makini wanaojiunga chuo cha propaganda! walio hapa hadi wanaaibisha. Hakuna hoja, kutoa picha ya Mbowe na viroja vingine. Hakuna hard facts, Kikwete alifikia hatua ya kutuma mawaziri kuelezea budget kwa wananchi wakaishiwa kuzomewa.
Wameishiwa na wako desperate.
Kada Mpinzani
Najua Tunakuudhi
Tunakuudhi kwa sababu kazi uliyopewa hujafanikiwa kuifikisha popote
Kazi ya kuwanyamazisha wanaojua la kusema
Kazi ya kuwanyang'anya ujasiri wale wasioko katika kundi la wateule wa CCM
Kazi ya kuwafanya wajione kuwa hawajui wale ambao hawahudhurii vikao vya mafisadi.
Kazi ya kuwafanya wajione inferior wale ambao hawako kwenye diary za MAFISADI.
Kazi ya kuwasahaulisha wazalendo wajibu wao wa kuilinda nchi yao na mali zake
Kazi ya kuwapokonya wazalendo haki ya kuwabana MAFISADI.
KM tunajua tumekuudhi binafsi kwa kuwa KAZI zooooote hizi zimeshindikana kutokana na kimbelembele chetu
Tunajua tunakuudhi zaidi kwa kuwa tutaendelea na kimbelemble chetu hiki mpaka kieleweke.
Sisi tumechagua KUKUUDHI
Wewe weka bayana umechagua nini
Kada Mpinzani
Najua Tunakuudhi
Tunakuudhi kwa sababu kazi uliyopewa hujafanikiwa kuifikisha popote
Kazi ya kuwanyamazisha wanaojua la kusema
Kazi ya kuwanyang'anya ujasiri wale wasioko katika kundi la wateule wa CCM
Kazi ya kuwafanya wajione kuwa hawajui wale ambao hawahudhurii vikao vya mafisadi.
Kazi ya kuwafanya wajione inferior wale ambao hawako kwenye diary za MAFISADI.
Kazi ya kuwasahaulisha wazalendo wajibu wao wa kuilinda nchi yao na mali zake
Kazi ya kuwapokonya wazalendo haki ya kuwabana MAFISADI.
KM tunajua tumekuudhi binafsi kwa kuwa KAZI zooooote hizi zimeshindikana kutokana na kimbelembele chetu
Tunajua tunakuudhi zaidi kwa kuwa tutaendelea na kimbelemble chetu hiki mpaka kieleweke.
Sisi tumechagua KUKUUDHI
Wewe weka bayana umechagua nini
Wanaochukizwa na juhudi zetu huwa hawajifichi; ni wepesi kudandia na kuteka nyara hoja, kubadilisha kinachozungumza na kutia kiwingu mijadala huru. Hata hivyo hatuwakatazi au kuwanyima nafasi hiyo, tunawapa nafasi ili wao wenyewe kwa hiari yao wejioneshe rangi zao hasa ni zipi.
Wanaoesha kuchukizwa na uwepo wa wale wanaowahoji na kuwafuatilia kwa karibu; wamekwama katika mitego yao wenyewe na wamebakia kutunga visa ili kunasa wanaofikiri wanaweza kunaswa. Lakini kuwepo kwao kati yetu ndiyo uthibitisho halisi wa kwanini mapambano haya ya kifikra ni ya lazima!
Na hii thread imeanzishwa kwa ajili hiyo na unaweza kuona hasira na chuki walizonazo. Wameudhika na kuchukia lakini ndo mwanzo JF is here kuwaumbua.
Asante kamende, nimependa signature yako.
Wanaochukizwa na juhudi zetu huwa hawajifichi; ni wepesi kudandia na kuteka nyara hoja, kubadilisha kinachozungumza na kutia kiwingu mijadala huru. Hata hivyo hatuwakatazi au kuwanyima nafasi hiyo, tunawapa nafasi ili wao wenyewe kwa hiari yao wejioneshe rangi zao hasa ni zipi.
Wanaoesha kuchukizwa na uwepo wa wale wanaowahoji na kuwafuatilia kwa karibu; wamekwama katika mitego yao wenyewe na wamebakia kutunga visa ili kunasa wanaofikiri wanaweza kunaswa. Lakini kuwepo kwao kati yetu ndiyo uthibitisho halisi wa kwanini mapambano haya ya kifikra ni ya lazima!
Kadampinzani
Hakuna kosa la wewe kutumiwa na MAFISADI, soma uelewe lugha ndio namekwambia hapo juu jifunze lugha fasaha hapa tunatofautiana katika lugha. Punguza jazba na usome uelewe kinachoongelewa sio kukurupuka.
Angalia mara unatumia kijana halafu mzee.. vipi ulisomea ngumbaru nini? uri wa JF ni kukufahamu ni mtu wa namna gani?
Kadampinzani
Hakuna kosa la wewe kutumiwa na MAFISADI, soma uelewe lugha ndio namekwambia hapo juu jifunze lugha fasaha hapa tunatofautiana katika lugha. Punguza jazba na usome uelewe kinachoongelewa sio kukurupuka.
Angalia mara unatumia kijana halafu mzee.. vipi ulisomea ngumbaru nini? Uzuri wa JF ni kukufahamu ni mtu wa namna gani?
na pia kuonesha tofauti kati ya nia yao na ya wapenda maendeleo ya Tanzania. Haichukui muda kabla hawaruka na kuanza kubandika picha na mambo ya ajabu.
lakini you know what, kadri inavyojulikana kuwa wako hapa, ndivyo nguvu ya kupambana nao inaongezeka. Kwa sababu sasa maadui wanajulikana na wao wameapa kutumia chochote wanachoweza kutumaliza bila kukumbuka kuwa hapa watoto hawalali mpaka Tanzania imekombolewa.
hii inaonesha jinsi tulivyowaudhi... title ya thread yenyewe inaonesha ni watu wa namna gani hawa... wameudhika na hawataki tena kufuatwafuatwa.
Reasoning ya kawaida hamna....
Naona pia umekasirika ! na wooote mmeingia kwenye mkenge (hoja ya mwanakijiji) sasa mnakasirika nini kama kweli mmeelewa thread yenyewe ! kama mngeelewa thread msingenikasirikia mimi...... i love it !