3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,897
- 13,659
Mbweni ubungo ndiyo wapi mkuu?
Mkuu gari iko Dar mbezi beach! Karibu uone gari mkuu utaongeza hela kidogo machine imekomaa sana aiseh..hii kwa jina jingine inaitwa machine poliGari iko wapi hii
5m vipi
Ongeza hela mkuu machine imekaza kweli kweli,popote heshima hii
Tatizo ni hiyo tu ndo ipoOngeza hela mkuu machine imekaza kweli kweli,popote heshima hii
Ndio mkuu ila ipo kwa pembeni,unaweza kufanya nyumba ya wafanya kazi nk. Maana ni chumba na sebule na pia kuna chumba kingine kimoja kwa sasa tumepangisha wanafunzi..frem zenyewe ziko kwa nje hamna muingiliano kabisa maana ziko mbili na ziko kwa pembeni kabisa mwa fencJe, hiyo nyumba ndogo ya wapangaji ipo ndani ya fensi moja na nyumba kubwa??!
Ukiwa bagamoyo Road kituo magengeni unaingia njia ya lami inayoelekea mbweni usalama.kwahyo km3 kama 2 kutoka hapo magengeni ukielekea hiyo lami utakuwa umefkka kwenye nyumaMbweni ubungo ndiyo wapi mkuu?
Mkuu karibu uone nyumba na ofa yako ni muhimu sana itasikilizwaM270 sidhani kama inalingana na hiyo nyumba
Bei ina maongezi mkuu karibu270!!!! Duh, hali ilivyo tait.
Sawa mkuu hakunashidaTatizo ni hiyo tu ndo ipo
Ngoja kwanza ninunue gari mkuuMkuu karibu uone nyumba na ofa yako ni muhimu sana itasikilizwa
Mkuu kama akikosekana njoo inbox tuyajengeSawa mkuu hakunashida
Mkuu hii gari ukiongeza hela tu me nakupa kusema kweli..jazia ifike japo 6.5mMkuu kama akikosekana njoo inbox tuyajenge
Hahaa pw sana mkuu na karibu sanaNgoja kwanza ninunue gari mkuu
Mkuu hii gari ukiongeza hela tu me nakupa kusema kweli..jazia ifike japo 6.5m