Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Kabisa nimemuambia iliko nyumba ndiyo imeleta shida. Nyumba kweli inaonekana ni nzuri. Halafu bado hakuna hata pavings. Hali ngumu wenye nyumba watafakari. Na madalali waambie ukweli wenye nyumba kuwa mambo ni magumu. Bora reasonable price ili biashara ifanyike haraka na dalali afaidike. Kuna nyumba zinauzwa toka 2019 wateja hakuna na wapangaji nao hakuna.Location ina matter mzee