BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,175
- 1,189
Dalali hana mtaji/ nauli za kuzungukiaSasa kwa nini huyo jamaa yako hakurudisha mrejesho kwa mhusika na kumwambia tu ukweli badala ya kupotea tu bila maelezo, halafu maelezo anakuja kukupa wewe?
Na wewe pia kwa nini haukumwambia ukweli jamaa kuwa umezidiwa na kazi kipindi hicho labda akutafute kwa mfano baada ya wiki mbili kama ikiwa bado hajapata mteja? Tatizo lenu madalali wa bongo mko so unprofessional... Sio wakweli kabisa yaani hamko honest na pia mna maneno mengi badala ya kumwambia ukweli mteja. Fanyia kazi hiyo na ujitahidi kubadilika, itakusaidia sana.
dovillenproperty