dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,189
- 2,219
- Thread starter
- #2,341
Bado tunapokea ofa wadau
Kushoto kama unaenda mbugani kuwinda nguruwe na sunguraIpo upande upi kama unatokea mwenge?
Asante sana mkuu! Tupambanie zitapatikana tuMjengo umetulia- tatizo hela Sasa!
, hizi nyumba za kisasa bei yake ni poa sana.NYUMBA INAUZWA BOKO BASIAYA
Nyumba ina vyumba 2 sebule jiko na choo nk
Size plot 350 SQM
Bei Tsh 22m
Wahi mapema bei hii ni ya ofa
Maongezi zaidi 0756060183
View attachment 2226023View attachment 2226024View attachment 2226025View attachment 2226026
Kwahiyo ukiuza inajizaa?Mkuu njoo ununue nyumba hii tumepunguza bei we endelea kuhoji picha zimepigwa vibaya wenzio wanakuja kuona na kununua.
Ila ngoja nikipita baadae hapo nitakuchukulia picha tena nitakutumia
Sisi kazi yetu ni ya kuuza nyumba mkuu kwahyo tukiuza hii nyingine pia zipoKwahiyo ukiuza inajizaa?
Madalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.Milioni 280 napata kiwanja cha hiyo size 870 sqm huko huko Mbweni, na najenga nyumba kama hizo mbili huko huko Mbweni au ghorofa moja.
Kiwanja 100m, nikikubali kulaliwa
Nyumba mbili kama hizo @ 90m = 180m au ghorofa la 180m, li kathiri la kufa mtu
So why the hell shud I buy that thing at that ridiculously overblown price ?
Kata hiyo bei nusu ndio iwe bei ya kuanzia.
Madalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.
Madalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.
URGENT SALE
Kiwanja Kina Hati Kinauzwa
Maeneo ya Kigamboni Puna Block L
Nauza bei ya Discount 6,000,000
Ukubwa wa kiwanja ni SQM 520
Huduma ya maji na umeme ipo
Tika feri ni Kilometer 30
Nipigie 0689 051480
Niamini nauza bei nzuri sana kwa maeneo hayo kiwanja kama icho ni kuanzia mil 10
Mkuu bei hatupangi sisi acha kutuchongea. Bei anapanga muuzaji sisi malipo yetu ni commission tena yenyewe ni ya kujadiriana. Karibu ni kuonyeshe nyumba kama hii bei yake ni kubwa ninazo nyingine mpaka 16m na kueandelea..hapa mjini kila mtu anaishi kulingana na uwezo wakeMadalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.
mkuu punguza hasira sasa sisi unataka tukale wapi? Acha wengine watembee na mihuri na wengine tusababibishe mihuri ifanye kaziNa ndo shida ya madalali.
Lukuvi akiwa ardhi alikuja na muelekeo mzuri, alisema sekta ya real estate iwekewe takwa la kisheria la elimu. Na akawashangaa wanasheria waliowaachia madalali kazi za kitaalam kama real estate transactions wakati wao wanatembea na mihuri ya kugonga kwa elfu tano tano.
Na migogoro nayo labda ingeisha kama miamala ya ardhi ingekuwa inafanywa kisomi zaidi na kitaalam zaidi.
Hapana mkuu sisi hatupangi bei hata kidogo kama vipi fuatilia vizrMadalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.