Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

NYUMBA INAUZWA BUNJU USALAMA.

Nyumba inauzwa ina vyumba 3 kimoja self
Stingroom nk
Nyumba ina mpangaji analipa kodi 400,000 kwa mwezi

Size plot 600 SQM
Bei Tsh 67m
Maongezi zaidi 0756060183

20220517_152241.jpg
20220517_152240.jpg
20220517_152031.jpg
20220517_152304.jpg
 
Ukubwa wa kiwanja, je kimepimwa, gari inafikika, maji na umeme vipo? Makaratasi halali yapo?
 
Milioni 280 napata kiwanja cha hiyo size 870 sqm huko huko Mbweni, na najenga nyumba kama hizo mbili huko huko Mbweni au ghorofa moja.

Kiwanja 100m, nikikubali kulaliwa
Nyumba mbili kama hizo @ 90m = 180m au ghorofa la 180m, li kathiri la kufa mtu

So why the hell shud I buy that thing at that ridiculously overblown price ?

Kata hiyo bei nusu ndio iwe bei ya kuanzia.
Madalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.
 
nyumba nzurli sana ya kisasa INAPANGISHWA ipo bahari beach nyumba inavyumba v3 sbule jiko chumba kimoja self linajitegemea bei Tsh 450,000/= kodi ya miezi 6
Maongezi zaidi 0756060183
IMG-20220520-WA0012.jpg
IMG-20220520-WA0011.jpg
IMG-20220520-WA0014.jpg
IMG-20220520-WA0009.jpg
IMG-20220520-WA0010.jpg
 
Madalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.

Na ndo shida ya madalali.

Lukuvi akiwa ardhi alikuja na muelekeo mzuri, alisema sekta ya real estate iwekewe takwa la kisheria la elimu. Na akawashangaa wanasheria waliowaachia madalali kazi za kitaalam kama real estate transactions wakati wao wanatembea na mihuri ya kugonga kwa elfu tano tano.

Na migogoro nayo labda ingeisha kama miamala ya ardhi ingekuwa inafanywa kisomi zaidi na kitaalam zaidi.
 
NYUMBA INAPANGISHWA

MAHALI BUNJU A /MIANZINI

NYUMBA INAJITEGEMEA YENYEWE

NYUMBA YENYE. VYUMBA. VITATU VYAKULALA

kimoja master
Public toilet
Kitchen
Stingroom
Dainingroom
Makabati
Maji
Umeme
Fence
Geti

BEI_LAKI 350/=KWAMWEZI

MFUMO WA MALIPO MIEZI (6)

MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU

0756060183

FB_IMG_1653105259121.jpg
FB_IMG_1653105266135.jpg
FB_IMG_1653105263868.jpg
FB_IMG_1653105261618.jpg
FB_IMG_1653105256643.jpg
 
Post in thread 'House4Sale - Nyumba inauzwa Mbweni njia ya Usalama' by Kahtan Ahmed has been reported by dovillenproperty. Reason given:

Content being reported:
URGENT SALE

Kiwanja Kina Hati Kinauzwa
Maeneo ya Kigamboni Puna Block L
Nauza bei ya Discount 6,000,000
Ukubwa wa kiwanja ni SQM 520
Huduma ya maji na umeme ipo
Tika feri ni Kilometer 30
Nipigie 0689 051480
Niamini nauza bei nzuri sana kwa maeneo hayo kiwanja kama icho ni kuanzia mil 10
 
Madalali changamoto sana, anajipangia bei tu bila ya kutafakari kwanza.
Mkuu bei hatupangi sisi acha kutuchongea. Bei anapanga muuzaji sisi malipo yetu ni commission tena yenyewe ni ya kujadiriana. Karibu ni kuonyeshe nyumba kama hii bei yake ni kubwa ninazo nyingine mpaka 16m na kueandelea..hapa mjini kila mtu anaishi kulingana na uwezo wake
 
Na ndo shida ya madalali.

Lukuvi akiwa ardhi alikuja na muelekeo mzuri, alisema sekta ya real estate iwekewe takwa la kisheria la elimu. Na akawashangaa wanasheria waliowaachia madalali kazi za kitaalam kama real estate transactions wakati wao wanatembea na mihuri ya kugonga kwa elfu tano tano.

Na migogoro nayo labda ingeisha kama miamala ya ardhi ingekuwa inafanywa kisomi zaidi na kitaalam zaidi.
mkuu punguza hasira sasa sisi unataka tukale wapi? Acha wengine watembee na mihuri na wengine tusababibishe mihuri ifanye kazi
 
ENEO LINAUZWA BUNJU A

Eneo lina ukubwa wa 5,500 sqm
Na kutoka Bagamoyo Road hadi kwenye eneo ni 1km
Eneo limepimwa na lina hati.
Panafaa Kanisa,Msikiti,Apartments,Hotel, Yard, family house nk
Bei Tsh 280m
Maongezi yapo.
Mawasiliano 0756060183

20220517_154247.jpg
20220517_144815.jpg
20220517_144839.jpg
20220517_144810.jpg
 
Back
Top Bottom