Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
- Thread starter
- #281
Mmmh! Wabongo bwana kwa kutishana, eti nilihudhuria lakini sikutumia yani uende kuzimu halafu usile chakula cha huko kwahio uliwaambia umefunga au? Hivi hizi propaganda zitaishaga lini? Mara Taa moja ya Toyo ni ishara ya Freemasonry mara taa ya Treni hebu tuacheni tule raha bwana, utaratibu wa kuchoma nyama kila mahali pana uchomaji wake sasa ule uchomaji mzuri ndio unaigwa na watu wote kwahio huo wa ndafu ndio mzuri ndio maana tunaufuata. Na pia hivi kipande cha nyama choma utakiokotaje kwenye sahani bila uma au kitu chenye ncha kali?