jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,866
- 10,163
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ndo inaitwa relationship debt
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ndo inaitwa relationship debt
Mpe mimbaMpenzi wangu ananikopa sana sasa nifanyaje na halipi kabisa
Wasiliana nasi tutakushauri cha kufanyaMnaweza kudai hela ambayo mtu amekopeshwa bila maandishi na amekana deni?
Utaratibu wetu tunakupa kwanza assesment form unajaza kisha unaturudishia. Tukishajiridhisha tunakueleza kama tutafanya au laNa maanisha tunalipanaje mimi na.nyie
2.nawaonyesha tu mdeni mnaaza kazi au kuna taratibu
3. Akigoma kbsa kulipa eitha kwa kutaka ama kutotaka mtachukua hatua gani
4.mpo tanzania nzima au dar tu
Tukishakubaliana baada ya kusainiana mikataba, umejaza assesment form. Utatoa barua ya utambulisho ambayo tunaambatanisha ni demant notice, nakala zinaenda ofisi ya kata na mtaa kwa taarifa.Maswali ya msingi sana haya maana mkimfuata kienyeji mdaiwa sugu anaweza kuwageukia na kusema mlivamia mkamsababishia upotevu wa assets zake zenye thamani ya milioni 10 na baadae deni linageuka linarudi kwenu.
Mnafanya Arusha tu?Tukishakubaliana baada ya kusainiana mikataba, umejaza assesment form. Utatoa barua ya utambulisho ambayo tunaambatanisha ni demant notice, nakala zinaenda ofisi ya kata na mtaa kwa taarifa.
Kwa hiyo tunaenda hatua kwa hatua hatutoi nafasi ya kusingiziana.
Kama hujaridhika na majibu nitakuwa tayari kufafanua zaidi
Malipo yetu yanaendana na kiwango cha deni.Na maanisha tunalipanaje mimi na.nyie
2.nawaonyesha tu mdeni mnaaza kazi au kuna taratibu
3. Akigoma kbsa kulipa eitha kwa kutaka ama kutotaka mtachukua hatua gani
4.mpo tanzania nzima au dar tu
Huduma zetu ni Tanzania nzimaMnafanya Arusha tu?
Above 5mil je??Malipo yetu yanaendana na kiwango cha deni.
Gharama zetu nimekuwekea hapo chini.
Hakuna anayeweza kugoma kulipa deni halali.Akijitahidi ataleta usumbufu ambao tutakabiliana nao mpaka alipeView attachment 2378407
20%Above 5mil je??
Tanzania baraMnafanya Arusha tu?