Tunatoa huduma za kukusanya madeni

Tunatoa huduma za kukusanya madeni

Joined
Sep 21, 2022
Posts
62
Reaction score
62
Kampuni ya uhakika ya kukusanya madeni.

emoji830.png
︎Madeni ya kawaida
emoji830.png
︎ Madeni Sugu
emoji830.png
︎ Madeni ya kimahusiano
emoji830.png
︎ madeni ya kirafiki
emoji830.png
︎ Utapeli

Nyakisasa Empire kwa huduma bora
IMG-20221002-WA0016.jpg
 
Mzuri sana, hakuna vulugu ni soft Collection and Litigation. Hatuna mambo mengi
Na maanisha tunalipanaje mimi na.nyie
2.nawaonyesha tu mdeni mnaaza kazi au kuna taratibu
3. Akigoma kbsa kulipa eitha kwa kutaka ama kutotaka mtachukua hatua gani
4.mpo tanzania nzima au dar tu
 
Na maanisha tunalipanaje mimi na.nyie
2.nawaonyesha tu mdeni mnaaza kazi au kuna taratibu
3. Akigoma kbsa kulipa eitha kwa kutaka ama kutotaka mtachukua hatua gani
4.mpo tanzania nzima au dar tu
Maswali ya msingi sana haya maana mkimfuata kienyeji mdaiwa sugu anaweza kuwageukia na kusema mlivamia mkamsababishia upotevu wa assets zake zenye thamani ya milioni 10 na baadae deni linageuka linarudi kwenu.
 
Una madeni yako sugu ungependwa yakusanywe na Kampuni ya uhakika ya kukusanya madeni?

Una Madeni yanakusumbua na ushahidi wa deni na ungependa kuliuza kwa kupewa cash?

Chàgua moja wapo kati ya hayo kisha njoo tuzungumze!
 
Kama Kampuni ya kukusanya madeni na mikopo tungependa kupata kijana jasiri na mkakamavu wa kukusanya madeni.

Malipo ni kwa kamisheni tutakayokubaliana

Awe mwaminifu.

Awe anapatikana Arusha,maana kazi iko Arusha.

Aliye tayari anaweza kucheck na sisi.
 
Back
Top Bottom