Tunatengeneza Taifa la "Black Mamba"

Tunatengeneza Taifa la "Black Mamba"

drhenry

Senior Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
111
Reaction score
145
Katika simulizi za maisha ya viumbe nilipitia simulizi ya Nyoka mwenye sumu kali sana duniani ajulikanaye kama Black Mamba, anapokuuma basi huchukui dakika unapoteza uhai.

Ingawa huyu nyoka yeye hana kawaida ya kumshambulia adui yake isipokuwa pale anapoona uhai wake uko shakani na hana wa kumtetea.

Nina wasiwasi huku Taifa letu linakokwenda kupitia wana usalama wetu na matendo ya utekaji na kuwazulumu haki wananchi, basi uko uwezekano wa wananchi kugeuka black mamba kwa wanausalama wetu na familia zao ili kujilinda kwani hawana wa kuwatetea, tuangalie tusifike huko.
 
Katika simulizi za maisha ya viumbe nilipitia simulizi ya Nyoka mwenye sumu kali sana duniani ajulikanaye kama Black Mamba, anapokuuma basi huchukui dakika unapoteza uhai. Ingawa huyu nyoka yeye hana kawaida ya kumshambulia adui yake isipokuwa pale anapoona uhai wake uko shakani na hana wa kumtetea. Nina wasiwasi huku Taifa letu linakokwenda kupitia wana usalama wetu na matendo ya utekaji na kuwazulumu haki wananchi, basi uko uwezekano wa wananchi kugeuka black mamba kwa wanausalama wetu na familia zao ili kujilinda kwani hawana wa kuwatetea, tuangalie tusifike huko.
Hili neno kuntu!
 
Katika simulizi za maisha ya viumbe nilipitia simulizi ya Nyoka mwenye sumu kali sana duniani ajulikanaye kama Black Mamba, anapokuuma basi huchukui dakika unapoteza uhai. Ingawa huyu nyoka yeye hana kawaida ya kumshambulia adui yake isipokuwa pale anapoona uhai wake uko shakani na hana wa kumtetea. Nina wasiwasi huku Taifa letu linakokwenda kupitia wana usalama wetu na matendo ya utekaji na kuwazulumu haki wananchi, basi uko uwezekano wa wananchi kugeuka black mamba kwa wanausalama wetu na familia zao ili kujilinda kwani hawana wa kuwatetea, tuangalie tusifike huko.
Raia wataanza kutembea na Machete akiona uhuru wake unaingiliwa na wanausalama wa sio na utambulisho wa aina yoyote ni muda wa Machete kufanya kazi yake. Maana anajua akilegea kifuatacho ni kupotea jumla.
 

Attachments

  • images-5.jpeg
    images-5.jpeg
    7.8 KB · Views: 19

Similar Discussions

Back
Top Bottom