Tunataka barabara ya 'Kanisa Road' ifunguliwe! - Lema

Tunataka barabara ya 'Kanisa Road' ifunguliwe! - Lema

hivyo vyeo vya wakuu wa mikoa vitolewe kwenye katiba mpya!
Who are they???

Makada wa ccm na implementers wa wizi wakati wa uchaguzi.. Kwa maana ni nyingine ni janga kubwa dhidi ya demokrasia Tanzania.. Naamini watanzania wengi kwenye mapendekezo ya katiba mpya wameshauri vifutwe vyeo hivi vya kimbea..
 
kilewo kwa faida ya tusioifahamu hiyo barabara embu tueleze itapunguza "jam" barabara ipi na itaungana na barabara kuu wapi?
 
Last edited by a moderator:
kilewo kwa faida ya tusioifahamu hiyo barabara embu tueleze itapunguza "jam" barabara ipi na itaungana na barabara kuu wapi?

Itaunganisha barabara ya Arusha/Moshi na ile (I believe inaitwa Sokoine - but am open to be corrected on this) inayotoka round-about ya Impala kwenda Clock Tower jirani na Kanisa la Anglican. Kwa sasa hivi mtu akitokea Sekei kwenda Mahakama Kuu ni lazima ama apitie Sanawari-East African Road hadi Clock Tower au apitie Phillips hadi Impala ili afike Mahakamani wakati haizidi mita 3000 kutoka barabara ya Moshi/Arusha kama barabara inayoongelewa hapa ingekuwa inatumika.
 
Hata mimi naunga mkono barabara hii kupita magari ile kuepusha msongamano wa magari ambayo kwa jiji la Arusha imekua ni kero kubwa mno haswa saa za asubuhi na jioni, lakini mimi ningemshauri mbuge wangu atumie njia ya busara kukaa na halimashauri ya jiji na kungalia ni namna gani na nini kifanyike lakini si kila kitu maandamano tu! kuna vitu vingine vinafanyika kwa njia ya kukaa chini na kuyamaliza Natumaini itawezekana!
 
hiyo barabara ya kanisa barabara ni ipi? najaribu kuiwaza ila siilewi?
 
Itaunganisha barabara ya Arusha/Moshi na ile (I believe inaitwa Sokoine - but am open to be corrected on this) inayotoka round-about ya Impala kwenda Clock Tower jirani na Kanisa la Anglican. Kwa sasa hivi mtu akitokea Sekei kwenda Mahakama Kuu ni lazima ama apitie Sanawari-East African Road hadi Clock Tower au apitie Phillips hadi Impala ili afike Mahakamani wakati haizidi mita 3000 kutoka barabara ya Moshi/Arusha kama barabara inayoongelewa hapa ingekuwa inatumika.
Mtoboasiri kwanini isiwe imefungwa kwa ajili ya usalama wa mahabusu? Barabara yenyewe ina lami hivyo sababu ya vumbi kumtimukia mke wa mkuu wa mkoa inaweza isiwe sababu; tafitini zaidi mnaweza kupata sababu ilyopelekea kufungwa sidhani kama sababu anayotoa Mh.Mbunge ni sahihi kilewo
 
Last edited by a moderator:
Mtoboasiri kwanini isiwe imefungwa kwa ajili ya usalama wa mahabusu? Barabara yenyewe ina lami hivyo sababu ya vumbi kumtimukia mke wa mkuu wa mkoa inaweza isiwe sababu; tafitini zaidi mnaweza kupata sababu ilyopelekea kufungwa sidhani kama sababu anayotoa Mh.Mbunge ni sahihi kilewo

Kuna kipande kisichokuwa na lami, lakini hakizidi hata mita 200.
 
Ki msingi barabara inayozungumziwa haipo kwenye ramani ya mji, si kwamba iliwahi kutumika ikafungwa, mpango mzima uko hivi;
- Eneo ambalo sasa barabara hiyo inapopitia ni eneo la Mt Meru Hotel (mzunguko wa rangi nyeupe), lakini eneo hilo lilimegwa na serikali ili kuweka visima vya maji vinavyopsimamiwa na Idara ya maji (tazama ramani ya eneo kiwanja chenye mzunguko wa zambarau)
- Idara ya maji walikuwa hawana access ya kufikia visima vyao hivyo wakawa wanatumia eneo la hoteli kutokea barabara ya Moshi/Arusha, na hoteli waliridhia hilo kwa muda mrefu na hiyo ikasababisha kuwepo kwa njia ya miguu (sio magari) kwa raia waishio maeneo ya jirani. Tazama ramani barabara/njia ya mguu ina rangi ya njano.
- baada ya muda mrefu kupita njia hiyo ikaanza kupita toyo/pikipiki na baadhi ya watu wasiojali magari yao wakaanza kuipita lakini kwa tabu maana kulikuwa na jiwe kubwa la asili katikati ya njia.
- Katika ramani hiyo hapo kiwanja chenye nyumba ya mkuu wa mkoa kina mzunguko wa rangi nyekundu, barabara ya asili inaishia hapo kwenye hicho kiwanja, lakini kwakuwa idara ya maji hawakuwa na njia maalum ilibidi wapewe access kutokea upande mwingine ambao ukiangalia utaona hata ramani inaonyesha.

Mimi nafikiri si vema kukurupuka kwa kila kitu, barabara hiyo ni muhimu na Mt Meru hotel wameridhika na mabadiliko ndio maana hata uzio wao wameuimarisha kulingana na uhitaji wa wananchi, ni vyema mbunge wetu akatumia njia ya majadiliano ili mipango miji waingize hii barabara katika mipango ya mji ikiwezekana hata kwa kuwafidia wawekezaji kwa kutoa eneo lao.

Fredmlay!

Acha kupotosha watu hapa JF.Ramani uliyoweka ni ya kiwanja cha Mount Meru. Barabara ya " Church road " inaunganisha barabara ya Nairobi -Moshi na ile Old Moshi road. Kama kweli imefungwa I have not been in Arusha recently but nimekulia Arusha hiyo barabara is the only through road before the Golf course na inayofuata kupitia moja kwa moja ni Moshi road kuanzia keep left ya pale Njiro. If they have blocked it that means hata kuzunguka kupitia barabara ya Haile Selasie ina maana lazima warudi Old Moshi Road. Mabadiliko haya yanahitaji baraka za Mipango miji. These RC's are sometimes becoming semi Gods with ukada wa CCM. Tuwaachie Mbunge na Mkuu wa Mkoa wachemke of course na wakazi wa Arusha kupotosha na kusema ulikuwa ni uchochoro is very myopic and creating confusion. Somebody suggested that it should be tarmacked ili kuondoa vumbi or else wamwage maji kama mitigation mpaka wapate pesa.
 
Mke wa mkuu wa mkoa kipindi hicho alisemaga, 'vumbi inachafua nyumbani KWAKE' kuanzia hapo ikafungwa. Lkn zamani ilikuwa inapitika kwa watembea kwa miguu baadae mahitaji yakaongezeka magari yakaanza kupita ndiyo mama mkuu wa mkoa akasema 'vuumbiii' barabara ikafungwa.
 
Heshima kwenu wakuu,

Barabara inayozungumziwa haijawahi kutumika kabisa.Mimi ni mkaazi wa Arusha,nimekulia Arusha na ninaishi Arusha ninajua ninachosema.Kimsingi barabara inayozungumziwa ni njia ya miguu nimeitumia sana kipindi nasoma sasa anapotokea mtu na kuzusha barabara imefungwa kwasababu ya mke wa mkuu wa mkoa namweka katika kundi la watu wa hovyo.

Ukitoa tuhuma yoyote lazima kwanza uifanyie uchunguzi wa kina kabla ya kuropoka.Mheshimiwa Godbless Lema kwa mara nyingine tena ameonyesha si mtu makini.
 
Mkuu wangu Mokerema barabara unaizungumzia ni ile ya Philips hadi Impala.Barabara inayozumziwa ni ile inayoanzia Mahakama kuu inaishia Gymkana kichochoro kinachotokezea Mt Meru Hotel ambayo haikuwahi kuwa barabara hata siku moja.


Fredmlay!

Acha kupotosha watu hapa JF.Ramani uliyoweka ni ya kiwanja cha Mount Meru. Barabara ya " Church road " inaunganisha barabara ya Nairobi -Moshi na ile Old Moshi road. Kama kweli imefungwa I have not been in Arusha recently but nimekulia Arusha hiyo barabara is the only through road before the Golf course na inayofuata kupitia moja kwa moja ni Moshi road kuanzia keep left ya pale Njiro. If they have blocked it that means hata kuzunguka kupitia barabara ya Haile Selasie ina maana lazima warudi Old Moshi Road. Mabadiliko haya yanahitaji baraka za Mipango miji. These RC's are sometimes becoming semi Gods with ukada wa CCM. Tuwaachie Mbunge na Mkuu wa Mkoa wachemke of course na wakazi wa Arusha kupotosha na kusema ulikuwa ni uchochoro is very myopic and creating confusion. Somebody suggested that it should be tarmacked ili kuondoa vumbi or else wamwage maji kama mitigation mpaka wapate pesa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ngongo,
Nakuheshimu sana humu jamvini hujawahi kuleta habari za uzushi.

Lema na wafuasi wake wanakubaliana kila jambo hata kama la kipuuzi.

Mkuu Ngongo usichoke kutupasha habari za Arusha.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu Mokerema barabara unaizungumzia ni ile ya Philips hadi Impala.Barabara inayozumziwa ni ile inayoanzia Mahakama kuu inaishia Gymkana kichochoro kinachotokezea Mt Meru Hotel ambayo haikuwahi kuwa barabara hata siku moja.

Mkuu Ngongo.

Mimi Arusha siyo mwenyeji sana lakini sijapata kuisikia hiyo barabara.

CC.. chama.
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wakuu,

Barabara inayozungumziwa haijawahi kutumika kabisa.Mimi ni mkaazi wa Arusha,nimekulia Arusha na ninaishi Arusha ninajua ninachosema.Kimsingi barabara inayozungumziwa ni njia ya miguu nimeitumia sana kipindi nasoma sasa anapotokea mtu na kuzusha barabara imefungwa kwasababu ya mke wa mkuu wa mkoa namweka katika kundi la watu wa hovyo.

Ukitoa tuhuma yoyote lazima kwanza uifanyie uchunguzi wa kina kabla ya kuropoka.Mheshimiwa Godbless Lema kwa mara nyingine tena ameonyesha si mtu makini.

Mheshimiwa pamoja na mengine hujasema kweli; ukweli angalia #30 ya acheche ndiyo ukweli. Mimi binafsi nimepita na gari njia hiyo kwenye miaka ya 1978. Nilidhani imefungwa kwa sababu ya mahakama.

Hoja ni kufungua hiyo barabara kama utaratibu unaruhusu wa kisheria akisema Lema au Ngongo sheria itaona kipi kinaweza kufanyika. Najua sababu zingine ambazo zinashabihiana na kuhusishwa kwa Mkuu wa Mkoa lakini kwa mazoea tunayoyajua ya KiCCM si busara kuingia kwenye malumbano maana watu wenye akili zao hawatajua tofauti.
 
Barabara inayozungumziwa haipo kabisa,upo uchochoro usioweza kupitisha magari.Uchochoro huo unatumiwa na watembea kwa miguu,baiskeli na pikipiki.Kimsingi eneo ni sehemu ya Mt Meru Hotel ukiwa unatokea maeneo ya Sekei,Kimandolu... kama unataka kwenda Mahakama kuu,Ghymkana,Ikulu,Grumeti Expedition... huo uchochoro unakurahishishia kufika maeneo hayo kwa urahisi zaidi badala ya kupitia barabara ya Phillips.


Mkuu Ngongo.

Mimi Arusha siyo mwenyeji sana lakini sijapata kuisikia hiyo barabara.

CC.. chama.
 
Hapo hapajawahi kuwa na barabara gari tuacheni ushabiki palikuwa na njia ya miguu na kulikuwa na jiwe kubwa la asili,mbele yake kulikuwa na mfereji na kalavati ambalo ilikuwa watu wawili hawapishani.bora angesema barabara iliyokuwa inatoka AICC Kwenda kuungana na barabara ya kanisa hadi uwanja wa gofu ambayo daraja lake lilivunjika miaka ya 70 hii barabara ilikuwa inafika hadi sabasaba hotel pembeni ya KK securty.
 
Wakuu acheche & Mimibaba

Kwanza si vizuri kuposha jambo,binafsi nimepita huo uchchoro miaka ya nyuma.Mwanzo Hotel ya Mt Meru haikuwa na uzio kabisa.Ilikuwepo njia kubwa (barabara) inayoishia nyumba ya General Manager ukienda mbele kidogo vipo visima vya Idara ya maji sasa (AUWASA) baada ya hapo uchochoro wa vumbi unaaambaamba pembezeni ya uwanja wa Golf halafu unakutana na barabara inayoanzia Ghymkana opposite na makao mapya ya mkuu wa mkoa wa Arusha,viwanja vya TTCL sijui kama bado wanavimiliki then mahakama kuu kote huko barabara chakavu ya lami inaonekana wazi kabisa.

Barabara haipo kabisa eneo la kuanzia Mt Meru mpaka unapofika Ghymkana unaanza kukutana na barabara ya lami chakavu.Ifahamike wazi makazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha yalikuwa eneo yalipo makao makuu ya EAC sasa yalihamishwa baada ya eneo hilo kutwaliwa na EAC.

Tuache ubishi Arusha tunaijua kama mzee wetu Mohamed Said anavyoijua Gerezani.



Mke wa mkuu wa mkoa kipindi hicho alisemaga, 'vumbi inachafua nyumbani KWAKE' kuanzia hapo ikafungwa. Lkn zamani ilikuwa inapitika kwa watembea kwa miguu baadae mahitaji yakaongezeka magari yakaanza kupita ndiyo mama mkuu wa mkoa akasema 'vuumbiii' barabara ikafungwa.

Mheshimiwa pamoja na mengine hujasema kweli; ukweli angalia #30 ya acheche ndiyo ukweli. Mimi binafsi nimepita na gari njia hiyo kwenye miaka ya 1978. Nilidhani imefungwa kwa sababu ya mahakama.

Hoja ni kufungua hiyo barabara kama utaratibu unaruhusu wa kisheria akisema Lema au Ngongo sheria itaona kipi kinaweza kufanyika. Najua sababu zingine ambazo zinashabihiana na kuhusishwa kwa Mkuu wa Mkoa lakini kwa mazoea tunayoyajua ya KiCCM si busara kuingia kwenye malumbano maana watu wenye akili zao hawatajua tofauti.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu acheche & Mimibaba

Kwanza si vizuri kuposha jambo,binafsi nimepita huo uchchoro miaka ya nyuma.Mwanzo Hotel ya Mt Meru haikuwa na uzio kabisa.Ilikuwepo njia kubwa (barabara) inayoishia nyumba ya General Manager ukienda mbele kidogo vipo visima vya Idara ya maji sasa (AUWASA) baada ya hapo uchochoro wa vumbi unaaambaamba pembezeni ya uwanja wa Golf halafu unakutana na barabara inayoanzia Ghymkana opposite na makao mapya ya mkuu wa mkoa wa Arusha,viwanja vya TTCL sijui kama bado wanavimiliki then mahakama kuu kote huko barabara chakavu ya lami inaonekana wazi kabisa.

Barabara haipo kabisa eneo la kuanzia Mt Meru mpaka unapofika Ghymkana unaanza kukutana na barabara ya lami chakavu.Ifahamike wazi makazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha yalikuwa eneo yalipo makao makuu ya EAC sasa yalihamishwa baada ya eneo hilo kutwaliwa na EAC.

Tuache ubishi Arusha tunaijua kama mzee wetu Mohamed Said anavyoijua Gerezani.

Mkuu Ngongo,

Umenimaliza sana na hayo maneno yako ya mwisho...ha haa haaa!

Nikija Arusha takutafuta ndugu yangu japo nipate kiwanja Arusha, nikienda kichwa kichwa naweza kukutana na za uso kutoka kwa madalali wa Arusha.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu LENGIO uko sawa kabisa huo mfereji kalavati lake hata waendesha pikipiki wanapita kwa tahadhari kubwa ndiyo ushangae mbunge kaikagua anasema ifunguliwe !.

Hapo hapajawahi kuwa na barabara gari tuacheni ushabiki palikuwa na njia ya miguu na kulikuwa na jiwe kubwa la asili,mbele yake kulikuwa na mfereji na kalavati ambalo ilikuwa watu wawili hawapishani.bora angesema barabara iliyokuwa inatoka AICC Kwenda kuungana na barabara ya kanisa hadi uwanja wa gofu ambayo daraja lake lilivunjika miaka ya 70 hii barabara ilikuwa inafika hadi sabasaba hotel pembeni ya KK securty.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom