fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 391
Fredmlay!
Acha kupotosha watu hapa JF.Ramani uliyoweka ni ya kiwanja cha Mount Meru. Barabara ya " Church road " inaunganisha barabara ya Nairobi -Moshi na ile Old Moshi road. Kama kweli imefungwa I have not been in Arusha recently but nimekulia Arusha hiyo barabara is the only through road before the Golf course na inayofuata kupitia moja kwa moja ni Moshi road kuanzia keep left ya pale Njiro. If they have blocked it that means hata kuzunguka kupitia barabara ya Haile Selasie ina maana lazima warudi Old Moshi Road. Mabadiliko haya yanahitaji baraka za Mipango miji. These RC's are sometimes becoming semi Gods with ukada wa CCM. Tuwaachie Mbunge na Mkuu wa Mkoa wachemke of course na wakazi wa Arusha kupotosha na kusema ulikuwa ni uchochoro is very myopic and creating confusion. Somebody suggested that it should be tarmacked ili kuondoa vumbi or else wamwage maji kama mitigation mpaka wapate pesa.
Acha jazba mkuu, kukulia Arusha sio kujua kila kitu, kwanza umeona hiyo ramani? Pili kwa kukulia kwako Arusha uliwahi kuona magari yakipita hiyo barabara au yalikuwa yanaishia gymkhana club? Kama una majibu ya hayo maswali jiulize mipaka ya Mt Meru Hotel ni ipi? kiukweli kama sio Idara ya maji pasingetokea kuwepo barabara pale kamwe. Kama ni upotoshaji utakuwa wako mwenyewe maana mimi nina record na nilihusika kufuatilia mipaka ya Mt Meru Hotel wakati inauzwa na hiyo ramani niliyoambatanisha hapo (achana na hizo rangi) ni nakala toka wizarani au bado una jazba?