TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Leo tunasheherekea sikukuu ya uhuru wa Tanganyika. Nchi ambayo imekufa baada ya nchi hiyo kuungana na Zanzibar 1964.
Hakuna bendera ya Tanganyika hata bendera inayopepea leo ni ni bendera ya Tanzania na si Tanganyika.
Kwanini kupoteza pesa zote hizi kusheherekea kitu ambacho hakipo!?
Kwanini tusingefanya kama mwaka jana?
Kwanini tusiue sherehe za uhuru wa nchi zote mbili yaani Zanzibar na Tanganyika kisha tukawa na siku moja tu kubwa ya uhuru ambayo ni 26 April?
Hakuna bendera ya Tanganyika hata bendera inayopepea leo ni ni bendera ya Tanzania na si Tanganyika.
Kwanini kupoteza pesa zote hizi kusheherekea kitu ambacho hakipo!?
Kwanini tusingefanya kama mwaka jana?
Kwanini tusiue sherehe za uhuru wa nchi zote mbili yaani Zanzibar na Tanganyika kisha tukawa na siku moja tu kubwa ya uhuru ambayo ni 26 April?